Ufisadi na system nzima ya utawala hapa Afrika ipo kwa maslahi ya wazungu ndio maana unaona mpaka leo ipo.
Unasema ni propaganda? Umekwenda shule lakini bado ni kipofu. Unajua kwanini hatuna viwanda? Unajua kwanini vita haziishi miaka nenda rudi. Akili zako ndogo sana.