Davido kaikataa Afrika na nchi yake Nigeria

Wewe ndo hajui kitu unasikiliza propaganda umasikini wetu unasabishwa na uzembe na ufisadi wa viongozi au unataka kusema wakoloni ndo wanakwambia watawala wa Africa wawe mafisadi?

Ufisadi na system nzima ya utawala hapa Afrika ipo kwa maslahi ya wazungu ndio maana unaona mpaka leo ipo.
Unasema ni propaganda? Umekwenda shule lakini bado ni kipofu. Unajua kwanini hatuna viwanda? Unajua kwanini vita haziishi miaka nenda rudi. Akili zako ndogo sana.
 
Hizo ni propaganda mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…