hassandilunga
Senior Member
- Mar 17, 2020
- 146
- 149
๐Kama humui vizuri, unapiga chafya, mafua nyakati za usiku, hiyo sio Corona, hufui blanket.
Vp Wizkid?Issue sio tu kufanya ngoma na msanii wa Marekani je hiyo ngoma Ni Kali? ngoma aliyofanya na Chris ilikuwa ya kawaida binafsi naonanaga ngoma akifanyaga ya Pekee yake inakuwa Kali Sana mfano " If ", " fall " tofauti akifanya na USA artists na nyimbo anazofanya na USA hazimpi Mafanikio Kama aliyopata kwenye ngoma zake za pekee yake.
Wizkid anakamua Kama ile one dance na Drake Ni ya Moto sanaVp Wizkid?
Mbona sionagi alipoimba mule au nasikiaga vibaya?Wizkid anakamua Kama ile one dance na Drake Ni ya Moto sana
Humui maadazi au Donati?Kama humui vizuri, unapiga chafya, mafua nyakati za usiku, hiyo sio Corona, hufui blanket.
Wewe ujui mziki mzuriMbona sionagi alipoimba mule au nasikiaga vibaya?
HaaaaaWewe ujui mziki mzuri
Kwani unapendaga Nini kwenye wimbo?Haaaaa
Flow nzuri,Lyrics piaKwani unapendaga Nini kwenye wimbo?
au maadazi ๐๐๐๐ถ
๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noma sanaau maadazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji124]
One dance Ni wimbo wa kuchezeka Ina beat nzuri, Melody nzuri na uwimbaji mzuri mziki Ni zaidi ya Lyrics.Flow nzuri,Lyrics pia
Kwa mtazamo wako Davido na Wizzy nani zaidi???One dance Ni wimbo wa kuchezeka Ina beat nzuri, Melody nzuri na uwimbaji mzuri mziki Ni zaidi ya Lyrics.