hassandilunga
Senior Member
- Mar 17, 2020
- 146
- 149
O.B.O ukipenda muite Davido kupitia I.G yake anatusanua kwamba kuna Collabo inakuja soon ft Nick Minaj...
Jamaa hataki masihara si mnakumbuka alivyoumiza kwenye Blow my mind akiwa na Chris Brown?
Hasimu wake mkubwa pia Amemaliza kupika Album yake ya Made In Lagos ambayo inasadikika humo ndani kuna Collaboration zamaana na wasanii wakubwa wa Marekani namzungumzia Wizkid au Star Boy..
Hawa Nigeria naona hawatanii🙌🙌
Jamaa hataki masihara si mnakumbuka alivyoumiza kwenye Blow my mind akiwa na Chris Brown?
Hasimu wake mkubwa pia Amemaliza kupika Album yake ya Made In Lagos ambayo inasadikika humo ndani kuna Collaboration zamaana na wasanii wakubwa wa Marekani namzungumzia Wizkid au Star Boy..
Hawa Nigeria naona hawatanii🙌🙌