hassandilunga
Senior Member
- Mar 17, 2020
- 146
- 149
- Thread starter
-
- #21
Mziki Collabo Bro. Huwezi kujulikana nje ya Afrika bila mikolabo kama hiyo.Tatizo ya hizi collabo msanii wa juu sana anapofanya collabo na msanii aliyempiga gepu kubwa huwa hazi hit, wasanii wa Africa wamefanya collabo na wasanii wengi wa marekani ila inabaki kukumbukwa tu msanii Fulani aliimba na msanii mkubwa wa marekani.
Collabo safi wote angalau msipishane sana umaarufu,mfano mfalme wa mziki Tz alipokutana na msanii Innos B ambaye pia anatamba Congo kazi ya yope ikawa fresh na ina views zaidi ya mia.
Sasa matawi ya juu wakikutana na wa chini yao sana huwa wanafanya kazi kama hawapendi hivi, matokeo yake inabaki tu historia
Diamond ft Omarion
Diamond ft Rick Rose
Diamond Ft Neyo
🚶