Davido kufanya collabo na Nicki Minaj

Davido kufanya collabo na Nicki Minaj

Tatizo ya hizi collabo msanii wa juu sana anapofanya collabo na msanii aliyempiga gepu kubwa huwa hazi hit, wasanii wa Africa wamefanya collabo na wasanii wengi wa marekani ila inabaki kukumbukwa tu msanii Fulani aliimba na msanii mkubwa wa marekani.

Collabo safi wote angalau msipishane sana umaarufu,mfano mfalme wa mziki Tz alipokutana na msanii Innos B ambaye pia anatamba Congo kazi ya yope ikawa fresh na ina views zaidi ya mia.

Sasa matawi ya juu wakikutana na wa chini yao sana huwa wanafanya kazi kama hawapendi hivi, matokeo yake inabaki tu historia
Mziki Collabo Bro. Huwezi kujulikana nje ya Afrika bila mikolabo kama hiyo.

Diamond ft Omarion
Diamond ft Rick Rose
Diamond Ft Neyo

🚶
 
hii kauli ingetolewa na msanii wetu pendwa, mtoto wa Abdul na Sandra, Mtandale OG Platnumz, wakina Robidinyo na wale wenzake wa lile group la spartcus the mnyama mkali wangesikika wakisema anatafuta kiki...
na wangeongeza ni baada ya ile ya kulipa pango kaya jero kubuma...
anyway kongole davido
 
hii kauli ingetolewa na msanii wetu pendwa, mtoto wa Abdul na Sandra, Mtandale OG Platnumz, wakina Robidinyo na wale wenzake wa lile group la spartcus the mnyama mkali wangesikika wakisema anatafuta kiki...
na wangeongeza ni baada ya ile ya kulipa pango kaya jero kubuma...
anyway kongole davido
Haaa
 
Issue sio tu kufanya ngoma na msanii wa Marekani je hiyo ngoma Ni Kali? ngoma aliyofanya na Chris ilikuwa ya kawaida binafsi naonanaga ngoma akifanyaga ya Pekee yake inakuwa Kali Sana mfano " If ", " fall " tofauti akifanya na USA artists na nyimbo anazofanya na USA hazimpi Mafanikio Kama aliyopata kwenye ngoma zake za pekee yake.
Kama kuna. Kaukweli hivi unaikumbuka aye
 
Issue sio tu kufanya ngoma na msanii wa Marekani je hiyo ngoma Ni Kali? ngoma aliyofanya na Chris ilikuwa ya kawaida binafsi naonanaga ngoma akifanyaga ya Pekee yake inakuwa Kali Sana mfano " If ", " fall " tofauti akifanya na USA artists na nyimbo anazofanya na USA hazimpi Mafanikio Kama aliyopata kwenye ngoma zake za pekee yake.
Hili nimeliona pia kwa Christian Bella. Ungetarajia collabo na Kofi Olomide ingekuwa fire, lakini haikupata kuwa hivyo
 
Back
Top Bottom