Davido kufanya collabo na Nicki Minaj

Davido kufanya collabo na Nicki Minaj

Guys..ile African bad gyal ya wizkid ft chris brown ndo inayo onesha uhatari wa wizkid....kwa upande wa davido naungana na mdau mmoja huko juu [collabo za davido na watu wa majuu zina kwama] but.wizkid ni Hits over Hits
 
Starboy....aliamua kumpisha burnaboy kidogo ampe kash kash Davido
 
Licha ya yote ila Kidayo ni very humble, anapendwa sana huyu jamaa compared to Davido huwaga anapanick sana kwa mfano anaposhindanishwa na Starboy.....afu kitu kingine Davido anabebwa sana na kuandika tofauti na Wizkid mvivu kuandika...anapendelea zaidi ku freestyle kama kwenye come closer.....

All in all hawa jamaa ni kama Messi na Cr7 pengo lao itakua ngumu sana kuziba....wamekuja watu wengi kina Tekno, runtown na recently Burnaboy ila kuwatoa hawa jamaa kwenye ramani ni ngumu mno
Hapa umenidanganya ndugu Wiz kwenye kuandika ni balaaa lingine hivi unajua One Dance iliandikwa na nani? Hits nyingi za Davido hakuandika mwenyewe.
 
Guys..ile African bad gyal ya wizkid ft chris brown ndo inayo onesha uhatari wa wizkid....kwa upande wa davido naungana na mdau mmoja huko juu [collabo za davido na watu wa majuu zina kwama] but.wizkid ni Hits over Hits
Hata Blow my mind? Lkn Star Boy ile African Bad Girl kwanini hakuitolea video??? Daaaah
 
Hapa umenidanganya ndugu Wiz kwenye kuandika ni balaaa lingine hivi unajua One Dance iliandikwa na nani? Hits nyingi za Davido hakuandika mwenyewe.
Sijahusisha kuandikiwa naongelea uwezo wa ku freestyle kama alivyofanya kwenye come closer
 
Can't wait kusikia hilo jisong
 
Back
Top Bottom