Mkuu kweli wakenya wanapewa promo MTVbase, mfano msanii wa Gospel rock Daddy Owen wa kenya anapewa sana promo hadi 2012 alibeba tuzo ya Mtvbase.
Davido sio mwanamuziki mzuri kumpita diamond basi tu unaija unambeba na alibahatisha skelewu. ukitaka kuproove angalia alivyoimba pumba kwenye africa rising halafu cheki diamond alivyouaa
sasa na sisi wabongo nini kinatubeba,,!?
Thats silliest excuse.
Kweli hata mie nilimfahamu Davido kupitia ngololo.Ila home boy akaze ni changamoto kwake.bila diamond wengine tusingejua kuwa kuna davido
Mkubwa Ayee imembeba sana mshikaji. Dogo akaze na abadilike atazipiga mwakani.Davido sio mwanamuziki mzuri kumpita diamond basi tu unaija unambeba na alibahatisha skelewu. ukitaka kuproove angalia alivyoimba pumba kwenye africa rising halafu cheki diamond alivyouaa
mkuu ni kweli wakenya walikuwa wanapewa promo first tym kwasababu kwa mara ya kwanza tuzo za mtv zilifanyika kenya mpaka Amani akachukua best female na Nameless best male ndo vilichangia wao kupigwa MTV ila siku hizi hamna mkenya anayenusa pale.
bila diamond wengine tusingejua kuwa kuna davido
sasa na sisi wabongo nini kinatubeba,,!?
Thats silliest excuse.
nikisema anabebwa na unaija i mean nigerian music industry is so big n ina exposure kubwa worldwide so obviosly davido ana fans wengi. bongofleva mwisho rwanda tu hapo
Jamaa liongo hili na lina chuki ,ka janamke lililoachika,halijui hata linasema nini,yani Diamond na davido wamefanya collabo ndio akaitwa kuja Fiesta?ama alikuja Fiesta ndio akakutana na Diamond wakafanya Number 1?eti miaka 26 Diamond unauhakika?na ishu ya diamond kutopanda jukwwani si hivyo unavyodanganya wewe,aliambiwa tuzo za waafrika zinatolewa sa 5 but wakazitoa sa 5 na hakupewa taarifa mapema,so mda huo hakuwepo jukwaani,.Umeelewa wewe mtu ?
Jamaa liongo hili na lina chuki ,ka janamke lililoachika,halijui hata linasema nini,yani Diamond na davido wamefanya collabo ndio akaitwa kuja Fiesta?ama alikuja Fiesta ndio akakutana na Diamond wakafanya Number 1?eti miaka 26 Diamond unauhakika?na ishu ya diamond kutopanda jukwwani si hivyo unavyodanganya wewe,aliambiwa tuzo za waafrika zinatolewa sa 5 but wakazitoa sa 5 na hakupewa taarifa mapema,so mda huo hakuwepo jukwaani,.Umeelewa wewe mtu ?
Jamaa liongo hili na lina chuki ,ka janamke lililoachika,halijui hata linasema nini,yani Diamond na davido wamefanya collabo ndio akaitwa kuja Fiesta?ama alikuja Fiesta ndio akakutana na Diamond wakafanya Number 1?eti miaka 26 Diamond unauhakika?na ishu ya diamond kutopanda jukwwani si hivyo unavyodanganya wewe,aliambiwa tuzo za waafrika zinatolewa sa 5 but wakazitoa sa 5 na hakupewa taarifa mapema,so mda huo hakuwepo jukwaani,.Umeelewa wewe mtu ?
Jamaa liongo hili na lina chuki ,ka janamke lililoachika,halijui hata linasema nini,yani Diamond na davido wamefanya collabo ndio akaitwa kuja Fiesta?ama alikuja Fiesta ndio akakutana na Diamond wakafanya Number 1?eti miaka 26 Diamond unauhakika?na ishu ya diamond kutopanda jukwwani si hivyo unavyodanganya wewe,aliambiwa tuzo za waafrika zinatolewa sa 5 but wakazitoa sa 5 na hakupewa taarifa mapema,so mda huo hakuwepo jukwaani,.Umeelewa wewe mtu ?
Jamaa liongo hili na lina chuki ,ka janamke lililoachika,halijui hata linasema nini,yani Diamond na davido wamefanya collabo ndio akaitwa kuja Fiesta?ama alikuja Fiesta ndio akakutana na Diamond wakafanya Number 1?eti miaka 26 Diamond unauhakika?na ishu ya diamond kutopanda jukwwani si hivyo unavyodanganya wewe,aliambiwa tuzo za waafrika zinatolewa sa 5 but wakazitoa sa 5 na hakupewa taarifa mapema,so mda huo hakuwepo jukwaani,.Umeelewa wewe mtu ?
Demu wa Davido ana nyota kali kuliko Wema navyohisi.