Davido Vs Wiz Kid beef laanza upya

Davido Vs Wiz Kid beef laanza upya

Hili beef la kazi hawa watoto nawaelewa sana wanashindana kupiga kazi yaani ngoma juu ya ngoma alafu ni hit songs hawataki utani wamefanya tuwasahau wadogo zetu hapa maana Sunche na Kapeto bado sijawaelewa wamevurugwa na nini mmoja kapiga kimya wakati mwingine anapiga yowe duh hakuna namna acha macho na masikio yarudi kwa wapopo kwa muda,namuelewa Starboy yuko real ni mwehu kweli na kiburi haswaaaa.
 
Huyu davido ni mtu ambaye muda mwingi anautumia kum-stalk WizKid yaani kila anachofanya anafanya huku akimuwaza Wizkid, hana tofauti na Alikiba kwa Diamond.

Angalia huu uchokozi.
d78da0ff7ad69b56dfed33c63b085095.jpg
 
Lakini davido naye Si kazaliwa state ina maana hana passport ???
Hana au hajapata Davido Passport ambayo ni passport ya kimuziki itakayomfanya atoke Nigeria na kuvuruga mitaa ya US na kwingineko nje ya Afrika bila ya wasiwasi... aliyonayo ni David Adedeji Adeleke Passport inayomwezesha kwenda popote duniani na kufahamika kama David Adedeji Adeleke!
 
wamepanga maana shamrashamra zilipungua walivyopatana huoni hapa kwetu siku hizi palivyopoa mambo ya kiba na mond,upande mmpja umekausha hautoi hata nyimbo mashabiki nao wamepigika na life la bwana bashite
 
Wizkid na Davido kila mtu ana uzuri wake wa Muziki. Hiyo sauti ya 'chura' ya Davido ni nzuri na ya kiume kuliko ya Wizkid. Sipendi wanaume wanaoimba kwa kubanabana sauti kama Diamond, Kiba na hata Wizkid kwa sehemu.
 
Wizkid na Davido kila mtu ana uzuri wake wa Muziki. Hiyo sauti ya 'chura' ya Davido ni nzuri na ya kiume kuliko ya Wizkid. Sipendi wanaume wanaoimba kwa kubanabana sauti kama Diamond, Kiba na hata Wizkid kwa sehemu.
Kamsikilize Mpoto au Manfongo
 
Mwanzoni nilipowafahamu hawa wawili nilikuwa namkubali zaidi Davido, ila kwa mangoma mfululizo aliyoachia Wizkid tangu mwakajana dah kwasasa nimetokea kumuelewa zaidi Wizkid, na Davido akiendelea kuzubaa hata bwamdogo Tekno atampita
 
hahahaa
mam huko uko ki makosa

njoo tim Davido bhana, au u ape da drake ft wizkid kila mwezi?
Hahaha hapana huko kwa sauti ya chura ndo upo kimakosa.

Hivi wizkid ft drake inawaumaa eeeehh... Tafuteni na nyie drake wenu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huyu davido ni mtu ambaye muda mwingi anautumia kum-stalk WizKid yaani kila anachofanya anafanya huku akimuwaza Wizkid, hana tofauti na Alikiba kwa Diamond.

Angalia huu uchokozi.
d78da0ff7ad69b56dfed33c63b085095.jpg
Hili dongo pale Dav alipofurahia Mr Ronado kumfollow sikapendi ka Wizz.
 
Lizarazu said:
Huyu davido ni mtu ambaye muda mwingi anautumia kum-stalk WizKid yaani kila anachofanya anafanya huku akimuwaza Wizkid, hana tofauti na Alikiba kwa Diamond.

Angalia huu uchokozi.
d78da0ff7ad69b56dfed33c63b085095.jpg
Hii ni fake beef .....aliicreate fan 2 ....kwa apo anamzungumzia future mwanamzki na footballer apo n cr7 bada ya cr7 kumfollow davido on twitter aftr his song line "they call me Mr ronaldo".....so apo kdgo unawezapata pcha
 
Una remember say no be baba e no dey cure frog. I go see you later. Hii ni murder case ya kiingereza. Malkia mwenyewe akiwasikia Wanaijeria wanaongea hii lugha analia na kugalagala chini.
Najaribu kutengeneza video inayoonesha MALKIA akilia na kugharaghala chini
 
Huyu davido ni mtu ambaye muda mwingi anautumia kum-stalk WizKid yaani kila anachofanya anafanya huku akimuwaza Wizkid, hana tofauti na Alikiba kwa Diamond.

Angalia huu uchokozi.
d78da0ff7ad69b56dfed33c63b085095.jpg
naona na tekno kajifanya kuingia wiz kid kamuambia ukweli
354951686e1ac12d4bbed7a86d617d0e.jpg
 
Wizkid ni real hustler amekulia mtaa mmoja wa kiswazi huko Surele Lagosi, huu uswahili swahili wanaomletea hao akina davido anajua sana kwenda nao sawa.
Yaani nimecheka kweli kweli aisee.
Me odjueleba oooh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom