Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,381
mondi mbona anatuwakilisha pia ?
au wewe team kiba ?
hongera kwa Davido,but wimbo wa kawaida hauwezi kuwa "hit" halaf muache unafiki,video hii ingekua ni ya Mond mngegonga kitufe cha report youtube na kuwatag BASATA hadi ungefungiwa....ila.hapa mnajifanya sijui kuwaasa wasanii wetu eti waige kwa wenzetu kisa Davido wakati Mond alishafikia level za kugonga ngoma na Mnyamwezi Rick Rosse mkatia fitina kwa maboya wenzenu Basata.....ACHENI UNAFIKI NA UCHAWI WA KIFALA.
Wasanii wetu muige kutoka kwa wenzetu
Kama imekuuma chomoahongera kwa Davido,but wimbo wa kawaida hauwezi kuwa "hit" halaf muache unafiki,video hii ingekua ni ya Mond mngegonga kitufe cha report youtube na kuwatag BASATA hadi ungefungiwa....ila.hapa mnajifanya sijui kuwaasa wasanii wetu eti waige kwa wenzetu kisa Davido wakati Mond alishafikia level za kugonga ngoma na Mnyamwezi Rick Rosse mkatia fitina kwa maboya wenzenu Basata.....ACHENI UNAFIKI NA UCHAWI WA KIFALA.
Una kauli za kishogaKama imekuuma chomoa
bora umetaka nichomoe tu mana kichwa kimechubuka hadi kinauma,ky imekata.Kama imekuuma chomoa
hongera kwa Davido,but wimbo wa kawaida hauwezi kuwa "hit" halaf muache unafiki,video hii ingekua ni ya Mond mngegonga kitufe cha report youtube na kuwatag BASATA hadi ungefungiwa....ila.hapa mnajifanya sijui kuwaasa wasanii wetu eti waige kwa wenzetu kisa Davido wakati Mond alishafikia level za kugonga ngoma na Mnyamwezi Rick Rosse mkatia fitina kwa maboya wenzenu Basata.....ACHENI UNAFIKI NA UCHAWI WA KIFALA.
Hakuna kitu kigumu kama kuchanganya aina mbili za muziki (Afro-Pop and RnB) bila kupoteza uhalisia na wimbo uwe wa moto kama hivi. Inahitaji kutuliza sana akili na pia hao wasanii ni lazima wawe wamehusiana sana (very connected) katika kutengeneza hiyo kazi.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]davido ni nuksi aisee ... pia mjue video za sasa hazihitaji mbwembwe nyiiiiingi kama zamani
Wimbo wa kawaida!!!hongera kwa Davido,but wimbo wa kawaida hauwezi kuwa "hit" halaf muache unafiki,video hii ingekua ni ya Mond mngegonga kitufe cha report youtube na kuwatag BASATA hadi ungefungiwa....ila.hapa mnajifanya sijui kuwaasa wasanii wetu eti waige kwa wenzetu kisa Davido wakati Mond alishafikia level za kugonga ngoma na Mnyamwezi Rick Rosse mkatia fitina kwa maboya wenzenu Basata.....ACHENI UNAFIKI NA UCHAWI WA KIFALA.
Naam! Particular ni hatari sana.Kuna ule wa major lazor particular dah wale jamaa sijui waliwezaje kuchanganya mpaka ukatoka wimbo mkali vile .. marekani south Africa na Nigeria kweli kuna watu wanajua bana
Hakuna kitu kigumu kama kuchanganya aina mbili za muziki (Afro-Pop and RnB) bila kupoteza uhalisia na wimbo uwe wa moto kama hivi. Inahitaji kutuliza sana akili na pia hao wasanii ni lazima wawe wamehusiana sana (very connected) katika kutengeneza hiyo kazi.
Nakupa mifano: Album ya NAS na Damian Marley iitwayo Distant Relatives, hawa walichanganya Reggae na HipHop bila kuvuruga. Halafu tena kuna wimbo wa Enya uitwao Adiemus, alichanganya Celtic Music and Afro Music na alitisha sana.
There is nothing hard like harmonizing music genres, especially when such genres are alien to each other. Hapa huyu Davido alituliza sana kichwa, penye ukweli lazima tuseme.
Reality doesn't care about their feelings.[emoji28][emoji28][emoji28]team dabiliusiiibii hawatakuelewa
Reality doesn't care about their feelings.
upon sahihi ila afro pop na RnB ina mix bila shida sema connection ni nzuri wameweza kumix fleva ya mziki wa Nigeria na USA vizuriHakuna kitu kigumu kama kuchanganya aina mbili za muziki (Afro-Pop and RnB) bila kupoteza uhalisia na wimbo uwe wa moto kama hivi. Inahitaji kutuliza sana akili na pia hao wasanii ni lazima wawe wamehusiana sana (very connected) katika kutengeneza hiyo kazi.
Nakupa mifano: Album ya NAS na Damian Marley iitwayo Distant Relatives, hawa walichanganya Reggae na HipHop bila kuvuruga. Halafu tena kuna wimbo wa Enya uitwao Adiemus, alichanganya Celtic Music and Afro Music na alitisha sana.
There is nothing hard like harmonizing music genres, especially when such genres are alien to each other. Hapa huyu Davido alituliza sana kichwa, penye ukweli lazima tuseme.