henry kilenga
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 1,329
- 1,117
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] sawa ... tuliza hasira basi
Sasa hapo wasanii watanzania wajifunze Nini? ngoma yenyewe ni ya kawaida video yenyewe haina maadili.sikiliza mtoa mada haijalishi ufanya mziki na Nani but the end of the day watu wanataka mziki mzuri ngoma ya mwanafa ya endelea tu ni Kali kuliko hata hii ngoma.