Davina: Nateseka kuzuiwa kumuona mwanangu

Davina: Nateseka kuzuiwa kumuona mwanangu

Anataka aonewe huruma lakini bora angejipanga kwanza..........
 
Alishawahi kwenda kudai mtoto wake kwa huyo jamaa, jamaa akamtandika makofi vibaya sana Davina kwa hasira akavunja vunja vioo vya ofisi ya huyo jamaa, akapelekwa kituo cha polisi, polisi wakamnyima dhamana akalala segerea, kifupi jamaa hataki mtoto wake awe na mawasiliano na Davina.
 
alishawahi kwenda kudai mtoto wake kwa huyo jamaa, jamaa akamtandika makofi vibaya sana davina kwa hasira akavunja vunja vioo vya ofisi ya huyo jamaa, akapelekwa kituo cha polisi, polisi wakamnyima dhamana akalala segerea, kifupi jamaa hataki mtoto wake awe na mawasiliano na davina.

hayuko serious mi nakwambia
kazaa na nani kwani?
 
Huyu inaelekea bado anampenda jamaa wake wa zamani kaolewa basi tu. Mwanaume kuanza kusikia habari za jamaa aliyekuwa na mkeo siku za nyuma yataka moyo sana. Kibuti kipo mlangoni labda jamaa awe zoba. Ndio maana kwa mwanaume kuoa mwanamke aliyezaa ngumu "kumesa"
 
Huyu dame Malaya tu#huyo mtoto alizaa na jamaa mtoto wa Aziz Ally IGP wa enzi ya Nyerere,wifi yake alizaa na Banana Zorro walikua wanauzana kwa wasanii enzi zao mtu na wifi yake

EEH kumbe, ila jamaa aliyemuoa naona mambo safi, maana mtoto siku izi anaishi mbezi beach maisha safi kabisa
 
Alishawahi kwenda kudai mtoto wake kwa huyo jamaa, jamaa akamtandika makofi vibaya sana Davina kwa hasira akavunja vunja vioo vya ofisi ya huyo jamaa, akapelekwa kituo cha polisi, polisi wakamnyima dhamana akalala segerea, kifupi jamaa hataki mtoto wake awe na mawasiliano na Davina.

Ya nakumbuka hii ishu, alipata kipigo heavy na polisi akalala, ila jamaa angemruhusu tu ata kama ni malaya ndo mama watoto wake so amruhusu kuiona damu yake, ila mpaka alilazwa polisi kwel davina alikosa, maana kesi kama izi wanawake wanatetewa sana, kitendo cha kulazwa ndani ni ishara tosha kuwa bibie ni gume gume
 
sasa alivyoenda kulalamika magazetini ili iwaje si aende ustawi wa jamii? au ameona na yy anasahaulika akaamua kuropoka tu ili tujue bado yupo maana bongo movie maigizo hadi kwenye maisha yao ya kawaida
 
Alishawahi kwenda kudai mtoto wake kwa huyo jamaa, jamaa akamtandika makofi vibaya sana Davina kwa hasira akavunja vunja vioo vya ofisi ya huyo jamaa, akapelekwa kituo cha polisi, polisi wakamnyima dhamana akalala segerea, kifupi jamaa hataki mtoto wake awe na mawasiliano na Davina.

Basi huyo Davina ni muoga. Angekuwa kweli amedhamiria hilo varangati ndo lilitakiwa liwe mwanzo wa kesi mpaka kieleweke. Ila kwakuwa alijifanya kuzubaa ndo ishakula kwake hivyo aendelee kulalamika tu magazetini!
 
hayuko serious mi nakwambia
kazaa na nani kwani?

Ya Davina alichemka sana, we mwanamke unamtoto mdogo halafu unamuacha na house girl unaenda kulala kambini eti unatengeneza muvi, mwanaume gani mwenye akili timamu ataacha mtoto wake ateseke, mwanaume alikuwa mume wa mtu analala na kwake na mkewe akiamini mtoto yuko na mama kumbe mama anahangaika na ulimwengu wa maigizo. Hakuwa serious kulea.
 
Nlijua Davina wa State aliyeimba So Good kumbe huyo kichenchede khaaa.
 
Back
Top Bottom