Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hahahahahah a nimeshinda kwa mangireza siku mbili hizi Kupata udaku wa sembe
Uumwage kesho huo udaku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahah a nimeshinda kwa mangireza siku mbili hizi Kupata udaku wa sembe
Uumwage kesho huo udaku
Huyu dame Malaya tu#huyo mtoto alizaa na jamaa mtoto wa Aziz Ally IGP wa enzi ya Nyerere,wifi yake alizaa na Banana Zorro walikua wanauzana kwa wasanii enzi zao mtu na wifi yake
Hahaha hujapita huko? Shamimu na mumewe wamenangwa huko hadi basi....Jana alipostiwa kinjekitile ngwale amechambwa siku nzima. Bi mangi anadai eti ametishiwa kifo na kinje. Wanadai ni muuza sembe, kibamia, mkewe ni teja. Leo post ya kinje imefutwa
hana lolote anataka umaarufu na aandikwe jf
hatumandiki asa hv
Hahaha nimebaki mdomo wazi. Ameulizwa kwanini ametoa na alishasema anajiamini jibu amekosa.
Hahaha hujapita huko? Shamimu na mumewe wamenangwa huko hadi basi....Jana alipostiwa kinjekitile ngwale amechambwa siku nzima. Bi mangi anadai eti ametishiwa kifo na kinje. Wanadai ni muuza sembe, kibamia, mkewe ni teja. Leo post ya kinje imefutwa
hana lolote anataka umaarufu na aandikwe jf
hatumandiki asa hv
Hahaha hujapita huko? Shamimu na mumewe wamenangwa huko hadi basi....Jana alipostiwa kinjekitile ngwale amechambwa siku nzima. Bi mangi anadai eti ametishiwa kifo na kinje. Wanadai ni muuza sembe, kibamia, mkewe ni teja. Leo post ya kinje imefutwa
Mi nishachoka kumuongelea aiseee et akasema mbona Jamii hiyo inshu wameiongelea umeniona mimii tu hhhhaaa
nimemshusha puu
km chupi ilokosa mpira
STAA wa filamu Bongo, Halima Yahaya Davina amefunguka kuwa yuko katika mateso makali baada ya kuzuiwa kumuona mwanaye kwa takriban miezi mitatu na mzazi mwenzake.
Akizungumza na mwandishi wetu, Davina alisema kabla hajaingia kwenye ndoa yake ya sasa, alizaa mtoto mmoja na mwanaume ambaye ni dairekta mkubwa wa filamu nchini lakini mwanaume huyo alimchukua mtoto tangu akiwa na miaka miwili hadi sasa ana miaka mitano kila akiomba kumuona mwanaye, hapewi ushirikiano.
Hakuna kitu kinachouma kama mtu kunikataza kuiona damu yangu, nimebeba mimba kwa miezi tisa halafu mwanangu hataki nimuone, nashindwa kumuelewa sijui ni kosa gani kubwa nimefanya hadi nistahili adhabu hii, alisema Davin