Davina: Nateseka kuzuiwa kumuona mwanangu

Davina: Nateseka kuzuiwa kumuona mwanangu

Uumwage kesho huo udaku

Hahaha hujapita huko? Shamimu na mumewe wamenangwa huko hadi basi....Jana alipostiwa kinjekitile ngwale amechambwa siku nzima. Bi mangi anadai eti ametishiwa kifo na kinje. Wanadai ni muuza sembe, kibamia, mkewe ni teja. Leo post ya kinje imefutwa
 
Huyu dame Malaya tu#huyo mtoto alizaa na jamaa mtoto wa Aziz Ally IGP wa enzi ya Nyerere,wifi yake alizaa na Banana Zorro walikua wanauzana kwa wasanii enzi zao mtu na wifi yake

Na yeye akaja akaolewa na shemeji ya banana Zorro. ..yani kaka mkubwa wa mke wa banana. ..umalaya akaachika..
 
Hahaha hujapita huko? Shamimu na mumewe wamenangwa huko hadi basi....Jana alipostiwa kinjekitile ngwale amechambwa siku nzima. Bi mangi anadai eti ametishiwa kifo na kinje. Wanadai ni muuza sembe, kibamia, mkewe ni teja. Leo post ya kinje imefutwa

hana lolote anataka umaarufu na aandikwe jf
hatumandiki asa hv
 
Huyo nae mwanamke balaaa yani mtoto ana miaka miwili unamuachia mume aleee?
 
Hahaha hujapita huko? Shamimu na mumewe wamenangwa huko hadi basi....Jana alipostiwa kinjekitile ngwale amechambwa siku nzima. Bi mangi anadai eti ametishiwa kifo na kinje. Wanadai ni muuza sembe, kibamia, mkewe ni teja. Leo post ya kinje imefutwa

Niliona ndio wanamuita kingwendu ,,na hua akipaniki anaandika gazeti hiloooo nilionako
Kibamia ni naniii hhhhhaaa
 
Hahaha hujapita huko? Shamimu na mumewe wamenangwa huko hadi basi....Jana alipostiwa kinjekitile ngwale amechambwa siku nzima. Bi mangi anadai eti ametishiwa kifo na kinje. Wanadai ni muuza sembe, kibamia, mkewe ni teja. Leo post ya kinje imefutwa

Leo nimepita huko basi wadau wake wanamtania mange kwa nini kafuta post ile ya drug wanamtaniajee ,kumbe kuna wengine anawaogopa,heeeeer wanamtania aiseee n
 
STAA wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa yuko katika mateso makali baada ya kuzuiwa kumuona mwanaye kwa takriban miezi mitatu na mzazi mwenzake.

Akizungumza na mwandishi wetu, Davina alisema kabla hajaingia kwenye ndoa yake ya sasa, alizaa mtoto mmoja na mwanaume ambaye ni dairekta mkubwa wa filamu nchini lakini mwanaume huyo alimchukua mtoto tangu akiwa na miaka miwili hadi sasa ana miaka mitano kila akiomba kumuona mwanaye, hapewi ushirikiano.

“Hakuna kitu kinachouma kama mtu kunikataza kuiona damu yangu, nimebeba mimba kwa miezi tisa halafu mwanangu hataki nimuone, nashindwa kumuelewa sijui ni kosa gani kubwa nimefanya hadi nistahili adhabu hii,” alisema Davin

Sasa hivi mpaka mtoto aweze kujitambua yaan afikishe miaka 18 ndo anaruhusiwa kwenda kwa baba au kuchukuliwa na baba yake...hyo ya miaka 7 imeshafutwa...
 
Back
Top Bottom