Davis Elisa Mosha ni nani?

Mwachen mpambanaji WETU WA kichaga juhudi na bidii zimemfikisha hapoo alipoo
 
Mwachen mpambanaji WETU WA kichaga juhudi na bidii zimemfikisha hapoo alipoo
Drug hapana hilo namtetea...

Utajiri una siri nyingi sana ,yeye ndiyo anajua alifanya kitu gani akatoboa ,sisi wa nje tutaona tu anauza mafuta etc ila hakuna hata siku moja tajiri atakwambia siri ya mafanikio yake ila tu jua kwamba kuna michezo mingi inafanyika mpaka kutoboa.

"Nilianza na mtaji wa elfu 10 " - Shamim Mwasha Zeze -8020 Fashion(Now yupo nyuma ya nondo -maisha)
"Nilianza kuuza ukwaju wa azam na mtaji wa elfu 40,sasa naingiza zaidi ya 200m" - Niffer(Yahya Sponsor- Drug)
"Nilikuwa nauza mitumba ya karume" - Masanja(Mapoooda -Jarcarhire era)
"Nilikuwa naokota makopo" - Dayamondi(Diddy did it ,take that take that).

Story ni nyingi as if wao walikuwa wanauza ukwaju wa Mercury au waokota makopo ya dhahabu ndiyo wakatoboa.
 
Carlos ni A.M Alex Massawe Mtoto wa mjini?
 
Hahahahaaaaaa nimechekaaaa MPAKA basi ukwajuu WA mercury mbwaa hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…