Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Ona hili Jinga. Embu angalia agemates zako wakina Mengi TV na radio stations zao halafu compare na hiyo camera na laptop (unayoita studio ya online TV) unayomiliki

- ni kweli umri wangu sawa na Mzee Mengi, lakini na yeye bado anatafuta pesa kama mimi sijaujua kosa langu ni lipi mkuu? Kuwa na miaka 70 au kutafuta pesa kihalali? hahahahahahaha

le Mutuz
 
Jin

Jinga sana hilo linajiona jaja wakati nalifahamu vizuri tu..linapenda sifa sana na hayo matangazo linayopost kwenye IG zake mengi ni ya kujipendekeza linafanya bure na kuambulia ofa za msosi tu..

- Sasa mkuu kama unayoyasema ni kweli ninalipaje kodi za nyumba yangu na ofisi? Ninbawalipaje wafanyakazi wangu? Nimelipiaje hizi leseni? Ongea kama umeendaa shule hata kama ni Chuki kubali kwamba wewe huwezi kupoteza muda na mtu unayemzidi, ninakuzidi kimaisha ndio maana unanifuatilia au? hahahahahahaha

le Mutuz Superbrand
 
mda utaongea tuu siku zote uendi against na past tutaona majigambo yako yataishia wapi babu yetu [emoji23] [emoji23] [emoji23]

- Mbona haya mambo yapo miaka na miaka sasa ninatabiriwa kuharibikiwa lakini nipo nipo, walisema ngoja JK aondoke, sasa wanasema ngoja JPM aondoke, jamani lini mtafanikiwa na hizo tabiri zenu za kishetani? hahahahahaha

le Mutuz Superbrand
 
- Mbona haya mambo yapo miaka na miaka sasa ninatabiriwa kuharibikiwa lakini nipo nipo, walisema ngoja JK aondoke, sasa wanasema ngoja JPM aondoke, jamani lini mtafanikiwa na hizo tabiri zenu za kishetani? hahahahahaha

le Mutuz Superbrand
Soma harama za nyakati Giza likizidi ujue kunapambazuka!!!
!!!!MARK MY WORD!!!![emoji110]
 
Soma harama za nyakati Giza likizidi ujue kunapambazuka!!!
!!!!MARK MY WORD!!!![emoji110]

- Mimi nasonga mbele sijui unaongelea nini? hahahahahaha na kama kawaida kila mwisho wa mwaka huwa ninaenda kupumzika nje ya nchi safari hii nitaenda Ulaya kidogo hahahahaha!

le Mutuz
 
- Mimi nasonga mbele sijui unaongelea nini? hahahahahaha na kama kawaida kila mwisho wa mwaka huwa ninaenda kupumzika nje ya nchi safari hii nitaenda Ulaya kidogo hahahahaha!

le Mutuz
Hahahahahh akyamama kweli wasted sperms ndio izi
 
Nina wasiwasi na haya majibu yako maana yanaonekana kuwa ya uongo.
Yaani unasema umekodisha Tv station kwa watu wengine alafu wakulipe mwisho wa mwezi?? Sijawahi kuona that kind of a business...
Labda kama utasema umekodisha vifaa na Jengo.
Alafu how come kama ASTV ina exist mbona mmiliki amebadili jina na kuita DIZZIM TV(which is another brand)? Kwa nini haikuendelea kuitwa ASTV?
Kuwa mkweli tu kuwa pengine ASTV haipo kwa sasa na uenda itakuwepo mbeleni...
 

- Well, naomba utafute mahali ambapo Dizzm wametangaza kununua AST ukionaiweke hapa then nitakuwa ninasema uongo, nimekuambia nenda Brela utapata ukweli kama Dizzm wamenunua maana pale ndipo ukweli ulipo.

le Mutuz Superbrand
 
Hahaha bila kapicha ka contract hizo ni blah blah tu

- No way nenda Breal utayaona yote, Dizzm wanasoma hapa kama ninayoyasema ni uongo si watasema au wangeshasema, unajua Vijana wa kiume kuwa na umbeya kiasi hiki inasikitisha sana duh!

le Mutuz Superbrand
 
Mbwembwe nyiiiiiingi kumbe unamiliki NoAh [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…