Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Daaah boss unaongea sana mpaka unasahau unachoongea huko nyuma..

Aliyekudanganya Rostam kasoma huko Cambridge ni nani? Na umesema mfanyabiashara wa kweli hawezi kuwa mwanasiasa, mbona Rostam amekuwa mwanasiasa tangia akiwa kijana wa miaka 20 na akiwa na miaka 26 akawa Mbunge Igunga mpaka alivyojiudhuru..

Unautenganishaje utajiri wa Rostam na siasa?? Mbona Dewji kwako umemclassify ni uchwara wakati amesoma sana tu tena ni IST Alumni..
Aiseeee "" Jamaa una AKILI
 
- Ndio maana naipenda JF kuna watu ni vichwa sana, kwa kuongezea tu Mosha anamiliki Kobil East Africa kuacha biashara zake zote zingine anamiliki jengo lenye Apartment 50 pale Sinza Mori, jamaa ana magari 2 tu ambayo ni USD 1M halafu eti ni failure hahahaa huyu jamaa ana utani wa ajabu sana!

le Mutuz Superbrand
Hahaha chuki tu imemkaba....hakuna jengine
 
Kam humjui vizuri le mutuz utasema ni genious hata kina albert einsten wanasingiziwa u genious

Mara ya kwanza kumuona le mutuz nilimuona kwenye mboni show alitapiga ma fact tupu huku anasugua pua
Hahaha "" kwani Jamaa hana akili kihivyo basiii Jamaa anazo bwana kichwani ..."" ila kinacho wakera watu ni jinsi anavyoish
 
Inadaiwa kuwa Le Mutuz alimdanganya Davis Mosha kuwa yeye ni mtaalamu sana wa mambo ya media. Na yeye kichwa kichwa akaingia kuagizia vifaa vya radio na TV kumbe jamaa hamna kitu.

Matokeo yake TV na radio zake amemuuzia mwarabu wa WCB (Sallam) ambaye yupo partner na Fred Bundala (Sky-walker) na kuziita Dizzim TV na Dizzim FM

Za chini ya kapeti zinadai sasa hivi Mosha na Le Mutuz iiiih ni paka na chui kabsa yaani hawaendani!
Huyu Mosha naye yukoje , Unamuaminije mtu kama Le Mutuz ?
 
ImageUploadedByJamiiForums1420173642.401923.jpg


Ila huyu jamaa
 
Inadaiwa kuwa Le Mutuz alimdanganya Davis Mosha kuwa yeye ni mtaalamu sana wa mambo ya media. Na yeye kichwa kichwa akaingia kuagizia vifaa vya radio na TV kumbe jamaa hamna kitu.

Matokeo yake TV na radio zake amemuuzia mwarabu wa WCB (Sallam) ambaye yupo partner na Fred Bundala (Sky-walker) na kuziita Dizzim TV na Dizzim FM

Za chini ya kapeti zinadai sasa hivi Mosha na Le Mutuz iiiih ni paka na chui kabsa yaani hawaendani!
Noma
 
Back
Top Bottom