Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

33867859_947806938735038_4802079393218297856_n.jpg



- Sio kwamba kelele zao za mlango zinazuia mtu kulala hapana, jana hapo Serena kama kawaida yaani wanapiga kelele maisha yanaendelea so worry not!

le Mutuz Superbrand
Hivi miwani ya jua unavaa usiku si ushamba huo
 
Kwani mkuu Le mutuz huko ulipokuwa unasafiri hakuna mtandao?Au ulisahau gadget nyumbani?
 
Nadhani unakumbuka enzi ya utawala wa idd Amin Dada wa uganda alikuwa na msaidizi wake katili aliitwa Colonel Maliyamungu, kwa sasa utawala wa Awamu ya Tano wanatumia katiba ya marehemu idd Amin Dada, kwa sasa Tanzania yupo Maliyamungu bashite ni Naibu Rais ni Boss wa kikundi cha wasiojulikana cha akina Lipumba mutuz, Cyprian Msiba, Heri Kisanduku makapero na wengineo wana zile zile Tabia za marehemu Colonel Maliyamungu wa uganda.
Ha haha haha
 
Hahahaha.. Linapenda mineno mbofumbofu sana hilo lizee.. JPM akitoka madarakani lemutz atakuwa age sawa na umri wa sasa wa EL.. Lkn mawazo aliyonayo sasa ni ya akina Aslay. Ukiona mtu above 50years old anapost nyumba isiyokuwa madirisha na milango(haijakamilika),hana majukumu ya kifamilia na kujiona ndo kufanikiwa sana kwake..! Ni wakuogopa kama ukoma, hafai hata kidogo..(Nyerere voice)
Ha hahaha
 
- hahahahahahaha mkibanwa na ukweli huwa mnageuza gia angani na maneno ya kitoto kama haya, unasema kuna umri wa kutafuta pesa? hahahahahahahhaa poleni sana mnatia huruma sana hahahahahhaa

le Mutuz Superbrand
Hahaaa hivi ulikuja kweli ..duuuuhh nili miss hii show aiseee
 
- hahahahaha umesahau Le KAzi Kazi BAmpa to BAmpa, ila kwa mamen kama wewe kulilia vibamia ina maana unapenda mizinga sana hahahahahaha

le Mutuz Superbrand
hahahaa wewe mzee unashida sana "" Aiseee
 
- Hujaona zile picha za Zitto anaongelea Bajeti na mike 2 tu, kule Diamond anaongelea wanawake wake ana mike 50, hahahaha Wabongo tunapenda Udaku na Utoto kama huu hahahahahaha

le Mutuz Superbrand
Ha hahaha jinga kabisa
 
- Hizi ni chuki tu ndugu yangu Davis ni binadam kama wewe kapigana kafikia alipo na wewe pigana ufike mbele yake zaidi, ila kumtukana mtu kwa kupigania maisha yake na kufanikiwa sio sawa, Davis anaajiri wananchi wengi sana imagine asipowapa ajira wataenda wapi?

le Mutuz Superbrand
sometimes unaongeaga fact sana wewe ..MZee""
 
Huu Uandishi ni wa Le mutuz mwenyewe ina maana kaamua kumkandia Devis mosha kiaina nina imani Devis mosha akisoma huu mtiririko atajua jinsi Le mutuz anavyomsengenya sasa na kumkandia kila kona , Uandishi wa Le mutuz unajulikana hata akija kivingine.
Haha hahaha
 
Initially Entrepreneur anaanza na biashara ndogo, from the roots na anakuwa nayo mpaka inakuwa kubwa. Davis ni Mjasiriamali mzuri sababu pamoja na darasa la 7 lake na background yake (hakutokea familia yenye uwezo na hajarithi chochote) sasahivi ni mtu aliyeajiri na anachangia kiasi kikubwa tu kwenye pato la taifa kuliko Prof wa Uchumi Lipumba.. Huwezi kuilinganisha Tija ya Mosha na Prof Lipumba pamoja na usomi wake..
exactly indeed ""...
 
Elerai ilianza akiwa fundi wa kawaida, fundi uashi miaka ya 70.. Miaka ya 80 au 90 mwanzoni akaisajiri ikiwa ni Class 7, leo hii ni Class 1.. Ni moja kati ya kampuni 5 kubwa za Ukandarasi nchini.. On his way he autosmarted most of the companies rulled by peeps with Bsc. Engineering.. Kuna wengi nawajua na vibachelor vyao vikampuni vyao bado vipi Class 7 wengine wamejitahidi wamefika Class 5..

Na ni nani amekwambia Elerai wont push further? Amesomesha watoto shule nzuri, amewawekea succession plan nzuri, no wonder in coming years watavuka boda.. Davis hajaquite bado,he is still pushing,miaka 10 baadae uje useme Davis ana kihoteli na sio mahotel.. Trump has been in business for almost 50 yrs, Davis sidhani kama ana hata miaka 30 kwenye biashara.. Judge him when he quite, he is still on his way to greatness..

Wabongo tuache wivu.. Najua sana inauma msomi umesoma lakini unaona wasiosoma sana wamekupiga bao..
Ha hahhaaa
 
How the hell ELERAI is class 3... Hahahha unanichekesha, Elerai ilikuwa Class 3 mwaka 2003 Mkuu. Mkuu narudia tena, Kati ya Kampuni kubwa za kandarasi za wazawa nchini ELERAI ni top 3.. Aliyekudanganya ELERAI ni class 3 hajui au labda umeamua kupotosha tu..

Nenda hapa ELERAI CONSTRUCTION COMPANY LIMTED | Contractors Registration Board

Au kukurahisishia.. Usipende kuongea vitu usivyovijua au usivyo na hakika navyo.. Ati Elerai Class 3 ahahahahahaha.. Inawauma standard 7 kawa autosmart na videgree vyenu..
ELERAI CONSTRUCTION COMPANY LIMTED
Registration Number:
B1/0076/07/2006
Managing Director:
SAMWEL MALEKO
Types of Contractor:
BUILDING
Class:
1
Category:
Local
Town:
ARUSHA
HideContacts
Postal Address:
P.O.BOX 7026
Physical Address:
PLOT NO. FF 82 NAIROBI ROAD SAKINA INDUSTRIAL AREA
E-mail:
newltd@habari.co.tz
Phone:
+255 027-2506000 / +255 027 2508936 / 0784 511144
Hahahaha hiii ndio inaitwaje vileeeeee"" Fact ...umetisha jamaaa"" umeongea kwa reference kabisaaa
 
Mkuu classes hazigaiwi kwa kiwango cha elimu.. Ebu acha uongo, kama kitu hujui nyamaza tu mkuu..

Hata ukitoka na elimu gani chuoni, hauwezi pewa class 5 kama unavyosema. Class zinadhaminishwa kwa kiwango cha mtaji, vifaa na uzoefu.. Ila mostly ni vifaa ambavyo unamiliki. Ati utoke chuo huna hata toroli upewe class 5 hahahahha
Hahaha
 
Ngoja nikupe tofauti iliyopo kati yako na Mosha ni hii hapa.

Mosha leo akiamuwa weekend hii yeye na familia yake wakapumzike Dubai anaweza kufanya hivyo na anunuwe property London UK kwa ajili ya mapumziko anaweza kufanya hivyo, hafikirii atakula nini au atavaa nini wala kodi ya nyumba yeye anaangalia kodi za serikali tu.

Akitaka kusomesha watoto wake popote pale hapa duniani ana uwezo wa kufanya hivyo.

Ni kichaa peke yake anayeweza kumbeza mtu wa viwango hivyo na kujiaminisha ni mwenzanko, huu nao ni upunguwani pia.

Akili zako na za mzee Akilimali hakuna tofauti.
Hahhaaha nawafuatilia vizuri sana ...kupitia mabandiko yenu " napata kumjua anaye jitambua na asiye jitambua....mwaga nondo mkuu
 
Back
Top Bottom