Richard R Monyo
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 242
- 265
Le boss nyenyenye.... Wanakuonea wivu tu mkuu
- Sio kwamba kelele zao za mlango zinazuia mtu kulala hapana, jana hapo Serena kama kawaida yaani wanapiga kelele maisha yanaendelea so worry not!
le Mutuz Superbrand
Hizi document za kumiliki blog hata mtoto wa darasa la 7 anaweza kutuma hapa.
Inamaana hizi document ndiyo kidhibitisho kuwa wewe ni mmliki wa radio na tv ambazo mmewakodishia Dizzim???[/QUOTE]
- Duh eti watoto wote wa Tanzania waliomaliza darasa la saba wanaweza kumiliki Studio kama hii, umetuisha sana great thinker! hahahahahahahha
le Mutuz Superbrand
Wille wanyooshe vijana hao nadhan hawakutambui kokobanga mobimba
- Sio kwamba kelele zao za mlango zinazuia mtu kulala hapana, jana hapo Serena kama kawaida yaani wanapiga kelele maisha yanaendelea so worry not!
le Mutuz Superbrand
Anamuongelea yule demu wako aliyekurekodi video ukiwa unajifuta kibamia chako baada ya kuoga
Na wewe unajua mimi nimeajiri watu wangapi?
Kumbuka,Mosha kuajiri watu hakumuondolei sifa ya kua stupid!
Nipe possible failures za Swahili Media?Ni 100% on Mosha's idiocy!
Amekua exposed,hana akili ya ku-run abit technical enterprises!Its true!
Biashara za wasio na akili hua ni zile zile,malori,mabasi,sheli,Bureau De Change na real estate za kishamba...Hizo hizo,nothing else!
Chuki na Mosha kuna mtu ananilipa?
Above 50years old Man..lakini mambo ya kitoooto..as if you're under 30.. Kazi kujipendekeza kwa watu maarufu kisha unapost kwenye IG..eti business meeting.. hahahahaha naaafwaaaz wakati unakutana nawa sehemu husika wakiwa na mambo yao binafs na kuomba selfie..hahahaaha. eti umaarufu umaarufu gani..??? Mjukuu wako Millard ayo mwenyewe humpati hata theluthi lakini hajishowoff hata siku moja. Au umaarufu wa kuwasindikiza Nandy, Harmorapa na Gigi money kwenye night club mikoani...???
Nilishangaa sana kuona ile video.. Hilo ndio tatizo la babu kudate na vitoto vidogo.. Hii aibu haiwezi kumwacha salama
Hv mtu wa 60+ unawezaje kufanya ujinga wa vile???...yan hata mm nikiwa na dem chumbani huwa hatutumiagi CM... CM zetu huwa tunazima kwa kweli
Ujue hili lizee linahisi lenyewe ndio linatembea mikoani while hata hapo mbeya kwenye white party ya nandy nililiona linajipendekeza kwa vitoto vya TIA na Mzumbe
Ninalifamu vizuri in and out asilimia kubwa mambo yake yamekaa kiudalali dalali hususan maswala ya mademu maarufu na kujifanya linafahamu mambo mengi na kufahamiana na watu maarufu. Halina ujanja wowote tofauti na kujipendekeza kwa watu wenye pesa. Na yeye pia aninifahamu vizuri tu sema ndo natumia ID fake akinigundua lazima litanimaid sana, hahahahahaha
Kumuamini LEMUTUZ NI sawa na kumini kuwa ipo siku taifa starz Itachukua kombe la dunia
Pesa za kula unapata kwenye Dili za kudhoofisha upinzani upinzani, kuwahujumu chadema, Blackmail za wauza unga na wewe kuchukua unga kwenda kuuza South Africa na China, kwenye hizo biashara zako huna wafanyakazi una vibarua wawili watatu hata kodi hulipi kwa wakati.
Le mobimba uwe unavaa kanzu ndevu sawa ee
- Mimi ni Super Star Celebrity, ninafahamika nje na ndani ya bongo kuliko wewe you are no body, ndio maana huwa nina pata dinner na watu kama huyu Balozi wa South Africa Tanzania, wewe watu kama huyu hawakujui na wala huwezi kufika Five Star ninako hang out nao, kubali tu umezaliwa bila nyota sio kosa langu hahahahahahha!
le Mutuz Superbrand
Navyojua, Mosha ni entrepreneur (google that), na wafanyabiashara wa aina hii wanachukua risks za aidha ku win au ku lose wanapoamua ku invest in some business idea. Whats wrong with that? Ulitaka awe mfanyabiashara wa aina gani, caliber gani, na usomi gani? Be reasonable. Siyo unakandia tu na kuja na hoja za dharau na kujiona mjuaji.Mkuu usibishe,katika nchi zetu.
Watu wote ambao hawajaenda shule hua wanapenda kuuza mafuta ya uchuuzi kwenye sheli,malori,bureau de change,hoteli,real estate za kishamba,etc..Hiyo ndio trend yao!
Kuhusu Lemutuz kumuharibia biashara,kuna mtu alitoa hoja nzuri hapo juu,kua,Mtu mmoja kama Lemutuz hawezi vuruga kampuni kiasi hicho kwa mfanyabiashara "shupavu" (supposedly) kama Mosha eti ashindwe kuiendesha?Ni uongo!...Nilichosikia,Lemutuz alipewa share 0.0001% which is so small hata kwenye board meetings hawezi kuwepo.
Tukubaliane,Mosha hili limemshinda maana ni technical enterprise,yeye amezoea biashara zisizotumia akili kama malori ambayo infact ndio yupo huko!
Mosha has been exposed kua ni very mediocre businessman for real!
Yaani Swahili Media of which u can run by phone from home,imemshinda?
Halafu eti lawama anatupiwa kilaza kama Lemutuz eti amesababisha biashara ikafa,is Lemutuz this powerful?No wayyyyy!
Naona umepandwa na maruhani kwa mtoto Rijali , Shauri yako natokea MombasaLe mutuz unajua wabongo ni wapumbavu sana; ndio maana Mkapa aliwaita wengine malofa; sasa kukaa marekani na aina ya gari kuna tatizo gani wewe kilaza?? Basi huku americano unaweza kuta billionnaire ila gari anayomiliki ni ya kawaida. Wabongo wajinga sana wanaona kumiliki gari ni kama kua peponi. Mungu ulieilaani hili li ngozi leusi lisamehe sana na haswa hawa wabongo huyo aliewaroga mrudishe awe akili hata kidogo. Mijitu inamshambulia mtu kumiliki gari as if lenyewe linamiliki Bugatti Veyron.. hovyoo kabisa wabongo akili kaa piriton.
Le mutuz ni kubwa jinga jinga ndiyo maana linakuwa lipambe kwa vijana wadogo wadogo kuliko rika yake, Dili zake haramu za kushirikiana na watu wasiojulikana kumpiga Risasi Tundu Lisu na kuwahujumu chadema ndizo zimemfanya kuchukiwa na watanzania wengi.
Le mutuz ni shiiiiida, aliishi Gheto na House boy nyumbani kwao mpaka Mzee wake akamfukuza kwenda kupanga chumba huko mitaani.
Vipi huko nyuma uko salama?? Nasikia mtaro umeshachimbwa vyakutosha...- Umekosea sana nimeishi Ikulu na my Uncle Balozi Lusinde, then nikahamia YMCA Hostel, baadaye Sido Hostel hapa hapa downtown then nikaenda majuu huyo unayemsema sio mimi hahahahahha!
le Mutuz Superbrand
Vipi huko nyuma uko salama?? Nasikia mtaro umeshachimbwa vyakutosha...
SamHani lakini
Navyojua, Mosha ni entrepreneur (google that), na wafanyabiashara wa aina hii wanachukua risks za aidha ku win au ku lose wanapoamua ku invest in some business idea. Whats wrong with that? Ulitaka awe mfanyabiashara wa aina gani, caliber gani, na usomi gani? Be reasonable. Siyo unakandia tu na kuja na hoja za dharau na kujiona mjuaji.
- Mosha ni super business man mwenye IQ kubwa sana ya biashara na ni yeye aliyeamua kwamba ili kupata faida kubwa kwenye TV na Radio ni bora akodishe na imefanikiwa, sijui huyo jamaa ana nini maana naona kelele nyingi sana hahahahaha
le Mutuz Superbrand