Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake



- Eti watoto wote wa Tanzania waliomaliza darasa la Saba wanamiliki studio kama hii, hahahahahahhaha pole sana mkuu!

le Mutuz
 



- Sio kwamba kelele zao za mlango zinazuia mtu kulala hapana, jana hapo Serena kama kawaida yaani wanapiga kelele maisha yanaendelea so worry not!

le Mutuz Superbrand
Wille wanyooshe vijana hao nadhan hawakutambui kokobanga mobimba

Alafu washushule live straight talk ya maisha
 
ana
Anamuongelea yule demu wako aliyekurekodi video ukiwa unajifuta kibamia chako baada ya kuoga


- Ninao wengi sana labda kama na wewe unataka kujiunga kwenye line, utapewa tu mzinga unaoulilia maana unalia sana kibamia so utapewa unachotaka live! hahahahahaha

le Mutuz Superbrand
 

- Hata siku moja huwezi kufikia utajiri wa Delina, wewe tukana matusi kwa majina ya bandia huku JF huna uwezo wa Delina nyamaza kaka aibu!

le Mutuz Superbrand
 


- Hii ndio ofisi yangu ipo posta Tancot House Sokoine Drive, unayemuongelea sio mimi kama unabisha njoo nikupe ajira anytime, hahahahahahhaa ila wewe huwezi kunipa mimi ajira hahahahahaha!

le Mutuz
 


- Ilikua ajali tu kazini ila mwendo ni ule ule mpaka nitakapo oa, bado single U know hahahahaha halafu June natimiza miaka 70 kazi kazi hahahahaha!

le Mutuz Superbrand
 
Ujue hili lizee linahisi lenyewe ndio linatembea mikoani while hata hapo mbeya kwenye white party ya nandy nililiona linajipendekeza kwa vitoto vya TIA na Mzumbe


- Mimi ni Super Star Celebrity, ninafahamika nje na ndani ya bongo kuliko wewe you are no body, ndio maana huwa nina pata dinner na watu kama huyu Balozi wa South Africa Tanzania, wewe watu kama huyu hawakujui na wala huwezi kufika Five Star ninako hang out nao, kubali tu umezaliwa bila nyota sio kosa langu hahahahahahha!

le Mutuz Superbrand
 


- Hapo ni home napata chai, downtown unajua kuwa ninaishi mjini Posta U know hahahahaha!

le Mutuz
 
Kumuamini LEMUTUZ NI sawa na kumini kuwa ipo siku taifa starz Itachukua kombe la dunia


- Sihitaji kuaminiwa na mburulazzz kama wewe, cause ninaminiwa na watu wenye heshima zao katika Taifa hili kama huyu sio wajinga kama wewe hahahahahaha!

le Mutuz Superbrand
 


- Utakua una ushahidi kwanini usiepeleke Polisi, tizama hapo majuzi nilikuwa Capetown, ilikua mara yangu ya kwanza kupanda ndege ya ndoto yangu hiyo hapo umeona ni balaaa U know hahahaha!

le Mutuz Superbrand
 
Le mobimba uwe unavaa kanzu ndevu sawa ee
 
Navyojua, Mosha ni entrepreneur (google that), na wafanyabiashara wa aina hii wanachukua risks za aidha ku win au ku lose wanapoamua ku invest in some business idea. Whats wrong with that? Ulitaka awe mfanyabiashara wa aina gani, caliber gani, na usomi gani? Be reasonable. Siyo unakandia tu na kuja na hoja za dharau na kujiona mjuaji.
 
Naona umepandwa na maruhani kwa mtoto Rijali , Shauri yako natokea Mombasa
 


- hahahahahahaha lazima utakuwa na ushahidi wa unayoyasema pelekea polisi tu hahahahahhaha!

le Mutuz Superbrand
 
Le mutuz ni shiiiiida, aliishi Gheto na House boy nyumbani kwao mpaka Mzee wake akamfukuza kwenda kupanga chumba huko mitaani.

- Umekosea sana nimeishi Ikulu na my Uncle Balozi Lusinde, then nikahamia YMCA Hostel, baadaye Sido Hostel hapa hapa downtown then nikaenda majuu huyo unayemsema sio mimi hahahahahha!

le Mutuz Superbrand
 
- Umekosea sana nimeishi Ikulu na my Uncle Balozi Lusinde, then nikahamia YMCA Hostel, baadaye Sido Hostel hapa hapa downtown then nikaenda majuu huyo unayemsema sio mimi hahahahahha!

le Mutuz Superbrand
Vipi huko nyuma uko salama?? Nasikia mtaro umeshachimbwa vyakutosha...


SamHani lakini
 
Vipi huko nyuma uko salama?? Nasikia mtaro umeshachimbwa vyakutosha...


SamHani lakini

- Ukiona mtu anasema mambo kama haya ujue nyuma kwake kumeoza kabisa sasa anadhani wengine wote ni kama yeye, pole sana hapa hakuna mwenye shida ya nyuma kwako hahahahahahaha!

le Mutuz Superbrand
 

- Mosha ni super business man mwenye IQ kubwa sana ya biashara na ni yeye aliyeamua kwamba ili kupata faida kubwa kwenye TV na Radio ni bora akodishe na imefanikiwa, sijui huyo jamaa ana nini maana naona kelele nyingi sana hahahahaha

le Mutuz Superbrand
 

Hana hoja kwa kweli. Facts speak for themselves. Dude is so full of himself hadi kinyaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…