Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Salama kiongozi- Yes, hivi unajua Hotel zote kubwa hapa mjini zinakodishwa majengo wanayotumia wenye majengo wameshindwa nini kumiliki hotel wenyewe? Relax jamani nimefurahi sana kwamba in the end wasomi wengi hapa wamegundua kwamba kuna chuki na wivu wa kike kwa Mosha.
Ahsanteni na Kwaherini tukutane thread nyingine!
le Mutuz Superbrand
Ngoja nikupe tofauti iliyopo kati yako na Mosha ni hii hapa.
Mosha leo akiamuwa weekend hii yeye na familia yake wakapumzike Dubai anaweza kufanya hivyo na anunuwe property London UK kwa ajili ya mapumziko anaweza kufanya hivyo, hafikirii atakula nini au atavaa nini wala kodi ya nyumba yeye anaangalia kodi za serikali tu.
Akitaka kusomesha watoto wake popote pale hapa duniani ana uwezo wa kufanya hivyo.
Ni kichaa peke yake anayeweza kumbeza mtu wa viwango hivyo na kujiaminisha ni mwenzanko, huu nao ni upunguwani pia.
Akili zako na za mzee Akilimali hakuna tofauti.
Wivu ni sawa na donda ndugu, let him be.
Mzee wa kamba ndefu, hizo info za college educations za wanae Bakhressa zipo wapi? Maana nimecheki website ya Bakhressa Group na ni mwanae mmoja tu kasoma B.Sc Georgetown (Tuition, Room and Board fully paid by daddy, I presume), sijaona Ivy League college nyingine. Mwingine nimeona kasoma Southbank University, London, ambayo ni crappy institution, to say the least.
Kama kutaja watu ni usnitch basi wewe ni number one motherfucker.
Kwahiyo hao uliowataja humu Mzee Mengi, Rostam Aziz na Mufuruki siyo watu?
Unajambajamba tu huna hoja unaleta viroja tu.
Faki yu.Matola huna akili mkuu!
Mengi,Rostam,Mufuruki,etc ni celeb businessmen..Kila mtu nchi hii anawajua majina!..Hakuna kitu wanafanya hakipo kwenye news!
Ninapowaongelea,sio usnitch wewe mwehu!
Ujuaji mwingi kumbe hata hujui kama unavyojidhania!
Kobil Mosha amepewa tenda ya kusupply mafuta kwa malori yake, sio ya Mosha acha uongo wako- Ndio maana naipenda JF kuna watu ni vichwa sana, kwa kuongezea tu Mosha anamiliki Kobil East Africa kuacha biashara zake zote zingine anamiliki jengo lenye Apartment 50 pale Sinza Mori, jamaa ana magari 2 tu ambayo ni USD 1M halafu eti ni failure hahahaa huyu jamaa ana utani wa ajabu sana!
le Mutuz Superbrand
we kenge unajidhalilisha sanaFaki yu.
Faki yu.
Usijaribu kupotezea kunijibu swali nililokuuliza. Au pengine hujui maana ya Ivy League? Kuhusu sifa ya London Southbank University, siyo mimi niliyeamua. Nenda hapa kwa mfano (rank of 78 out of 104 institutions in Accounting & Finance, subject aliyosomea mwana wa Bakhressa. Lakini hii ni ranking ya 2019. You can rest assured kwamba miaka ya nyuma LSBU ilikuwa even further down the list)Mzee,una haki kusema vyuo ni crappy universities kwa maana Open University,Udom,etc ndio elite/ivy league universities?
I see,mtoa hukumu,hongera sana!
Usijaribu kupotezea kunijibu swali nililokuuliza. Au pengine hujui maana ya Ivy League? Kuhusu sifa ya London Southbank University, siyo mimi niliyeamua. Nenda hapa kwa mfano (rank of 78 out of 104 institutions in Accounting & Finance, subject aliyosomea mwana wa Bakhressa. Lakini hii ni ranking ya 2019. You can rest assured kwamba miaka ya nyuma LSBU ilikuwa even further down the list)
Accounting & Finance - Top UK University Subject Tables and Rankings 2019
Acha uongo hakuna jengo lenye apartment 50- Ndio maana naipenda JF kuna watu ni vichwa sana, kwa kuongezea tu Mosha anamiliki Kobil East Africa kuacha biashara zake zote zingine anamiliki jengo lenye Apartment 50 pale Sinza Mori, jamaa ana magari 2 tu ambayo ni USD 1M halafu eti ni failure hahahaa huyu jamaa ana utani wa ajabu sana!
le Mutuz Superbrand
Acha Uongo wako Kobil Uganda na kenya zinaendeshwa na watu wengine na Kobil ya Tanzania huyo Mosha ameikodisha kwa siku chache na hali ni mbaya sana kwani kakodisha 80% ya vituo vya mafuta kwa PUMA ni dalili ya kupotea kwa Kobil ya Tanzania baada ya mmliki wake marehemu Biwott kufariki na kuiacha Kobil ikiwa hoi bin taabani, Kumbe Le mutuz ni mshauri mkuu wa huyo Mosha Devis? Sasa kwa nini hujamshauri kuomba mkopo Bank apate kuimarisha Kobil ya Tanzania badala ya kukodisha vituo vya Kobil kwa PUMA ? Umejaribu kumtetea Devis Mosha lakini nikisoma maoni yako naona kama umeamua kujitoa fahamu ili kukwepa lawama baada ya Siri zoote zenu kuvujia humu humu kwa ujumla.- Ndio maana naipenda JF kuna watu ni vichwa sana, kwa kuongezea tu Mosha anamiliki Kobil East Africa kuacha biashara zake zote zingine anamiliki jengo lenye Apartment 50 pale Sinza Mori, jamaa ana magari 2 tu ambayo ni USD 1M halafu eti ni failure hahahaa huyu jamaa ana utani wa ajabu sana!
le Mutuz Superbrand
Hahaha, jamaa sound sanaAcha uongo hakuna jengo lenye apartment 50
Tatizo la Le mutuz ni fix sana ni muongo hakuna mfano na pengine ndiyo maana anapendwa na Naibu Rais Maliyamungu idd Amin Bashite.Acha uongo hakuna jengo lenye apartment 50
Le mutuz kajishitukia kuwa keshamharibia Devis mosha, kaamua kutengeneza Uongo wa kila Aina ili kumfurahisha Mosha apate kumkubali tena japo kwa shingo upande, Le mutuz ni shiiiiida.Hahaha, jamaa sound sana
Mie huwa nakupinga kule kwenye Siasa, lakini hilo la Kobil nakuunga mkono ni kweli Kobil Tanzania bado ni ya wakenya ingawa huyo Mosha kajiegesha humo humo kimtindo.Kobil Mosha amepewa tenda ya kusupply mafuta kwa malori yake, sio ya Mosha acha uongo wako
Hahaha, jamaa anafurahisha sana ,hajui kuwa hy ASTV watu tunajua kuwa yy na CEO wake kwa kukosa mipango ndio wameifikisha hapoLe mutuz kajishitukia kuwa keshamharibia Devis mosha, kaamua kutengeneza Uongo wa kila Aina ili kumfurahisha Mosha apate kumkubali tena japo kwa shingo upande, Le mutuz ni shiiiiida.