Davis Mosha akusanya zaidi ya milioni 400 kanisa la KKKT-Arusha Mjini

Yaani kiufupi wewe ulie leta mada hii hapa utakua ndo Davis Mosha,unajaribu kusikia watu watasema nini kuhusu wewe kama wanakujua,yamkini una maovu yako unaenda kujifichia KANISANI
 
We unajiongea tu kufurahisha genge.FIU(Financial Intelligence Unit) watakuhoji hii pesa umetoa wapi uwaambie eti Sadaka Ni Siri? Hujui unachokisema mzee.
 
Pesa ya cocaine
 
Na hapo ameshakubaliana na mchungaji anapewa % zake fresh kabisa
 
We unajiongea tu kufurahisha genge.FIU(Financial Intelligence Unit) watakuhoji hii pesa umetoa wapi uwaambie eti Sadaka Ni Siri? Hujui unachokisema mzee.
Hahahah, sasa hayo ndio maandiko ya biblia, mengine hayo utajuana nao.., sijasema kwamba utafanikiwa..
 
Punguza wivu asee wewe una vituo vingapi, au kwa mwaka unasaidia mayatima wangapi
 
Cha msingi ni usinipangie maoni yangu, pesa kila mtu anatafuta, haziokotwi mahali.
Nadhani hili ndiyo jibu sahihi kwa wenye kauli za: "tafuta pesa".

Maana siku hizi hatusemi, "tafuta pesa" limekuwa ndiyo jibu la jumla.

Ukiongea issue yoyote unaambiwa: "tafuta pesa"!

Sijui nani kaanzisha haka kamsemo ka kijingajinga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta pesa wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£, wanakera sana
 
Tafuta pesa wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£, wanakera sana

Si ndiyoo; wewe utafute pesa then watu waje wakupangie matumizi; sheria ni moja tu kuwaudhi na wao wakatafute pesa waone kama watakubali kupangiwa matumizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…