Davis Mosha akusanya zaidi ya milioni 400 kanisa la KKKT-Arusha Mjini

Mungu ndio jaji wa haki.Kanisani kwenyewe ukichimbua kwa jicho la kibinadamu na ukathibitisha hutakaa ukarudi kuabudu.Mwamini Mungu
 
Hujitambui, matusi umeshayaporomosha na account bado haijafungwa. Kichaa mwenye smartphone.
 
Still anahudumia mpaka kesho, Hizi nyumba za ibada ni one time needs. Nafikiri cha Msingi ni mimi na ww kutafuta pesa si kupangia wengine waliotafuta zao jinsi ya kuzitumia

Sent from my SM-G980F using JamiiForums mobile app
Mungu akubariki sana kwa ujumbe huu murua kabisa. Kongole
 
asante kwa utoaji maana imeandikwa " ya kaisali mpe........"
 
Moshi tunamfahamu kama "YAHAYA"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…