Uchaguzi 2020 Davis Mosha: Mpeni Magufuli, hao wengine watauza nchi

Uchaguzi 2020 Davis Mosha: Mpeni Magufuli, hao wengine watauza nchi

Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani , CCM wanachukua pesa za viwanda za walipa kodi za maendeleo wanampa polepole kuzitumia kudidimiza demokrasia kudhoofisha kuihujumu chadema ni matumizi mabaya ya pesa za umma, tayari polepole ametajirika kwa huu mradi haramu wa kuua upinzani kwa njia haramu za kishetani, pesa inayotumika kwa mambo yasiyo na tija kwa Taifa ni kubwa kuliko inayotumika kuleta vimaendeleo vidogo vyenye utitiri wa ufisadi 10% za wajanja wachache wa CCM,

Mda huu kama siyo CCM pengine Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko mataifa yote mikubwa Duniani na kungekuwa na daraja mpaka Zanzibar na pemba, ukerewe mwanza na hata kigoma na congo kwenye ziwa Tanganyika, huku kukiwa na vyuo vikuu kila wilaya na Hosptal za rufaa kila mkoa na barabara nzuri kilw kijiji, CCM wameifirisi Nchi pesa zote kwa sasa zinaenda kwa Mkoloni kaburu mweusi ndiyo maana wapinzani wanadai uhuru upya baada ya ule wa mwaka 1961.
 
Nchi inataka uhuru upya baada ya kuuzwa mwaka 1998 na utawala wa CCM
 
Aliyewahi kuwa Mgombea wa CCM Moshi Mjini na bilione Davis Mosha amwombea kura, Rais Magufuli, Priscuss Tarimo na Juma Raibu



Kada wa Chama cha Mapinduzi na Aliyekua Mgombea wa Ubunge Moshi Mjini 2015, Ndugu Davis Mosha leo aliendelea na Kazi ya Kuomba kura za Urais kwa Dr. John Pombe Magufuli, Kura za Ubunge kwa Priscus Tarimo na Kura za Madiwani wa CCM. Davis Mosha alikutana na Kinamama vijana na Wazee wa Kata ya Miembeni katika Kikao cha ndani na kuzungumza nao Umuhimu wa Kuipa kura chama cha Mapinduzi.

Pia alitumi nafasi hiyo kueleza kazi alizozifanya Dr. John Pombe Magufuli pamoja faida ya kumchagua katika Kipindi kingene cha Miaka mitano.

Aliwasihi wakina mama na Wazee kuzungumza na Vijana wao juu ya Mustakabali wa Maisha yao ya Baadae kwani kura yao ni yenye thamani kubwa na Dr. Magufuli pekee ndiye anayeweza kuipa thamani kura hiyo.

ia alitumia muda huo kumuombea Priscus Tarimo kura za Ubunge na kuahidi iwapo Priscus atachaguliwa basi atatekeleza zile ahadi binafsi alizoahidi mwaka 2015 kupitia Priscus na Madiwani wake. Davis Mosha alimaliza kwa kusema bado nia yake ni kukombolewa kwa Jimbo la Moshi ili tupate maendeleo.View attachment 1605388View attachment 1605389View attachment 1605390

View attachment 1605391
View attachment 1605436
Hahaaa ccm iko icu,yeye mwenyewe alishindwa kujiombea kura 2015.leo anakuja na uzwazwa wake
 
Aliyewahi kuwa Mgombea wa CCM Moshi Mjini na bilione Davis Mosha amwombea kura, Rais Magufuli, Priscuss Tarimo na Juma Raibu



Kada wa Chama cha Mapinduzi na Aliyekua Mgombea wa Ubunge Moshi Mjini 2015, Ndugu Davis Mosha leo aliendelea na Kazi ya Kuomba kura za Urais kwa Dr. John Pombe Magufuli, Kura za Ubunge kwa Priscus Tarimo na Kura za Madiwani wa CCM. Davis Mosha alikutana na Kinamama vijana na Wazee wa Kata ya Miembeni katika Kikao cha ndani na kuzungumza nao Umuhimu wa Kuipa kura chama cha Mapinduzi.

Pia alitumi nafasi hiyo kueleza kazi alizozifanya Dr. John Pombe Magufuli pamoja faida ya kumchagua katika Kipindi kingene cha Miaka mitano.

Aliwasihi wakina mama na Wazee kuzungumza na Vijana wao juu ya Mustakabali wa Maisha yao ya Baadae kwani kura yao ni yenye thamani kubwa na Dr. Magufuli pekee ndiye anayeweza kuipa thamani kura hiyo.

ia alitumia muda huo kumuombea Priscus Tarimo kura za Ubunge na kuahidi iwapo Priscus atachaguliwa basi atatekeleza zile ahadi binafsi alizoahidi mwaka 2015 kupitia Priscus na Madiwani wake. Davis Mosha alimaliza kwa kusema bado nia yake ni kukombolewa kwa Jimbo la Moshi ili tupate maendeleo.View attachment 1605388View attachment 1605389View attachment 1605390

View attachment 1605391
View attachment 1605436


Nchi mbona imeshauzwa? Mpaka unga wa ngano tunaagiza!
 
Bora wauze nchi kwa MABEBERU(Wahisani) kuliko Kuuza Unga kuharibu waTZ kama ulivyokuwa unafanya awamu ya JEIKEI.
 
David Mosha a.k.a. Yahaya
Kumbe bado upo mkuu?
Unakumbuka waliyokutenda watu wa Moshi? 🤣 🤣
 
Aliyewahi kuwa Mgombea wa CCM Moshi Mjini na bilione Davis Mosha amwombea kura, Rais Magufuli, Priscuss Tarimo na Juma Raibu



Kada wa Chama cha Mapinduzi na Aliyekua Mgombea wa Ubunge Moshi Mjini 2015, Ndugu Davis Mosha leo aliendelea na Kazi ya Kuomba kura za Urais kwa Dr. John Pombe Magufuli, Kura za Ubunge kwa Priscus Tarimo na Kura za Madiwani wa CCM. Davis Mosha alikutana na Kinamama vijana na Wazee wa Kata ya Miembeni katika Kikao cha ndani na kuzungumza nao Umuhimu wa Kuipa kura chama cha Mapinduzi.

Pia alitumi nafasi hiyo kueleza kazi alizozifanya Dr. John Pombe Magufuli pamoja faida ya kumchagua katika Kipindi kingene cha Miaka mitano.

Aliwasihi wakina mama na Wazee kuzungumza na Vijana wao juu ya Mustakabali wa Maisha yao ya Baadae kwani kura yao ni yenye thamani kubwa na Dr. Magufuli pekee ndiye anayeweza kuipa thamani kura hiyo.

ia alitumia muda huo kumuombea Priscus Tarimo kura za Ubunge na kuahidi iwapo Priscus atachaguliwa basi atatekeleza zile ahadi binafsi alizoahidi mwaka 2015 kupitia Priscus na Madiwani wake. Davis Mosha alimaliza kwa kusema bado nia yake ni kukombolewa kwa Jimbo la Moshi ili tupate maendeleo.View attachment 1605388View attachment 1605389View attachment 1605390

View attachment 1605391
View attachment 1605436

Tunaomba kwenye CV ya Davis Mosha aiweke hapa. Isije ikawa Wananchi wa Moshi ambao ni wasomi wanapoteza muda kumsikili kilaza kwenye majukwaa ya CCM.
 
Mhalifu aliyebanwa katika biashara zake nchini anapojaribu kijikomba
Njaa ni kitu kibaya zaidi Tanzania hasa kwa mtu kama huyo kaona hakuna jinsi ataweza kumfikia mtukufu aongee nao akaona atumie jukwaa la siasa kujipendekeza
 
Tunaomba kwenye CV ya Davis Mosha aiweke hapa. Isije ikawa Wananchi wa Moshi ambao ni wasomi wanapoteza muda kumsikili kilaza kwenye majukwaa ya CCM.
Le mutuz ndiye mshauri wake mkuu anzia hapo sasa, endapo mtu mzima anakaa na kumsikiliza Le mutuz kweli hata angekuwa na degree 30 anaonekana ni darasa la tatu tu, kukaa na Le mutuz tayari ni dalili za kuwa na Upeo weledi Mdogo sana.
 
Back
Top Bottom