BB_DANGOTE
Senior Member
- Sep 25, 2023
- 167
- 148
Wana JF naomba nisaidiwe dawa inayo weka nywele sawa na ziache kujifungaa ..but dawa hiyo isiwe na madhara makubwa.......ninaomba kusaidiwa wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥺🥺🥺Ya kweli ayooPilipili kichaa changanya na oil iliyotumika ya pikipiki ya mdudu
Jinsia yako tafadhali...??Wana JF naomba nisaidiwe dawa inayo weka nywele sawa na ziache kujifungaa ..but dawa hiyo isiwe na madhara makubwa.......ninaomba kusaidiwa wakuu
😹😹😹😹ila wwPilipili kichaa changanya na oil iliyotumika ya pikipiki ya mdudu
MeJinsia yako tafadhali...??
Nakuelewa my dear, tumeaminishwa kuwa kipilipili ni nywele 'mbaya' zisiponyooka. Lakini, ndivyo tulivyoumbwa, na Mungu hakukosea.Wana JF naomba nisaidiwe dawa inayo weka nywele sawa na ziache kujifungaa ..but dawa hiyo isiwe na madhara makubwa.......ninaomba kusaidiwa wakuu