Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 655
- 1,069
Wadau kama kichwa cha habari kinavojieleza, nina kama gunia 30. Naomba mwenye kujua dawa nzuri ya kuhifazia maharage anijuze kwani nahitaji kuyaweka kama miezi minne..
Najua wajuvi mnaodili ni hili zao mpo.
Natanguliza shukrani kwenu
Najua wajuvi mnaodili ni hili zao mpo.
Natanguliza shukrani kwenu