Hiyo ilikuwa bawasili kweli mkuu? Hiyo dawa ulikuwa unakunywa au?Niliwahi kusoma hapa hapa JF ushuhuda wa mtu kuhusu matumizi ya Castor Oil kwenye tatizo hilo. Namimi kuna wakati nilipata tatizo la choo kwa muda merefu mpaka nikapata hiyo bawasiri na nikanunua hiyo castor oil kujaribu kama itanisaidia. Kwangu ilifanya kazi aisee within 2 weeks ile nyama ikaanza kupotea na baada ya mwezi ilipotea kabisa mpaka sasa haijarudi tena
pamoja sana mkuu. Hii inatibu hadi bawasili ya ndani?Twanga kutunguu swaumu, chemsha maji yachemke pamoja na hivyo vitunguu, weka mahali kama ndoo ili uweze kukalia mvuke ukuingie. Vua nguo. Fanya hivyo kwa siku 5.
Mkuu naomba utupe mrejesho kuhusi hii tiba. Je, ,ulipona kabisa na haikurudia tena mkuu?Dawa yangu ni bora 0712505049View attachment 2852079
Hiyo castor oil unapaka au unakunywa?dosage ipoje ya habat soda? kupaka au kunywa? ni najua mafuta ya mbono / castrol oil
Unakunywa au unapaka mkuu?Castor oil inatibu kweli ... hata mimi ni shuhuda
That is businessOgopa sana screenshot zilizocropiwa