Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

Status
Not open for further replies.
Acha FIKRA ZA UBAGUZI WA KIDINI
 
hakuna dini mbele ya kifo ww..
 
Mungu awabariki na itolewe bure bada kuthibitisha na Kitivo cha Sayansi ya Afya na Matibabu cha WHO
 
Mzungu hawezi leta dawa ya ukimwi. Mtasubiri sana.
Ugonjwa aulete yeye halafu awaletee dawa. Poleni mpk muishe mbaki Jero afrika nzima ndio atawaletea.
Mtaendele kula ARV tu
 
Mzungu hawezi leta dawa ya ukimwi. Mtasubiri sana.
Ugonjwa aulete yeye halafu awaletee dawa. Poleni mpk muishe mbaki Jero afrika nzima ndio atawaletea.
Mtaendele kula ARV tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] naizo arv ndio zitakazo wakalisha (kuwaua)
 
Uzuri hizo nchi wala hata hazisumbuki na UKIMWI yaani kule kwanza wakimuona mtu Ana ngoma hushangaa sana.
Kule wao sharia tu, yaaani oa tulia na mke kama huwezi basi ongeza mke tena na tena. UKIMWI utakujaje mkuu.
 
Mbona mnajipendeka nyie wazayuni wa Tz,Waislael hawautambui ukristo kabisa kama mnavyoaminishwa katika makanisa yenu.Kama hujui watu wengi ni waislam kuliko wakristo huko Israel.Chanzo cha ugomvi kati ya waislam na mayahudi si dini kama unavyodhani wewe
 
Mh!yan mzungu alete huo ugonjwa kwa nia ya kutuangamiza halaf bado alete na dawa tena,i don believe this
 
Ukichaa huo mkuu
Rakin bwana ngoma ikilia
Sana mwidmsho hupasuka kuna utofaut Mkubwa Sana zaman hta hakukuwa na tetes ya MTU kusema anatibu kitu hyo sasa Watu wengi wanajitangaza wanatibu akiwemo dct msigwa viongoz Wa din ndio usiseme yaan ujasir umekuwa mwingi kwa Watu kuaminisha Dawa IPO na inaponya tusikate tamaa tuwe wachungzi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…