Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

Status
Not open for further replies.
Nadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
Acha FIKRA ZA UBAGUZI WA KIDINI
 
Nadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
hakuna dini mbele ya kifo ww..
 
Mungu awabariki na itolewe bure bada kuthibitisha na Kitivo cha Sayansi ya Afya na Matibabu cha WHO
 
Mzungu hawezi leta dawa ya ukimwi. Mtasubiri sana.
Ugonjwa aulete yeye halafu awaletee dawa. Poleni mpk muishe mbaki Jero afrika nzima ndio atawaletea.
Mtaendele kula ARV tu
 
Mzungu hawezi leta dawa ya ukimwi. Mtasubiri sana.
Ugonjwa aulete yeye halafu awaletee dawa. Poleni mpk muishe mbaki Jero afrika nzima ndio atawaletea.
Mtaendele kula ARV tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] naizo arv ndio zitakazo wakalisha (kuwaua)
 
Nadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
Uzuri hizo nchi wala hata hazisumbuki na UKIMWI yaani kule kwanza wakimuona mtu Ana ngoma hushangaa sana.
Kule wao sharia tu, yaaani oa tulia na mke kama huwezi basi ongeza mke tena na tena. UKIMWI utakujaje mkuu.
 
Nadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
Mbona mnajipendeka nyie wazayuni wa Tz,Waislael hawautambui ukristo kabisa kama mnavyoaminishwa katika makanisa yenu.Kama hujui watu wengi ni waislam kuliko wakristo huko Israel.Chanzo cha ugomvi kati ya waislam na mayahudi si dini kama unavyodhani wewe
 
Mh!yan mzungu alete huo ugonjwa kwa nia ya kutuangamiza halaf bado alete na dawa tena,i don believe this
 
Ukichaa huo mkuu
Rakin bwana ngoma ikilia
Sana mwidmsho hupasuka kuna utofaut Mkubwa Sana zaman hta hakukuwa na tetes ya MTU kusema anatibu kitu hyo sasa Watu wengi wanajitangaza wanatibu akiwemo dct msigwa viongoz Wa din ndio usiseme yaan ujasir umekuwa mwingi kwa Watu kuaminisha Dawa IPO na inaponya tusikate tamaa tuwe wachungzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom