kauzu12
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 868
- 783
Ukimwi auna dawa kwasababu sio ugonjwaRakin bwana ngoma ikilia
Sana mwidmsho hupasuka kuna utofaut Mkubwa Sana zaman hta hakukuwa na tetes ya MTU kusema anatibu kitu hyo sasa Watu wengi wanajitangaza wanatibu akiwemo dct msigwa viongoz Wa din ndio usiseme yaan ujasir umekuwa mwingi kwa Watu kuaminisha Dawa IPO na inaponya tusikate tamaa tuwe wachungzi