BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,195
- 1,346
Nadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
wewe hujui maana ya UZINZI na UASHERATIWewe unadhani ikitangazwa rasmi dawa ya ukimwi imepatikana ni nani watafanya sherehe Kama sio Wazinzi?
Sasa tena unakubari kuwa kwa asilimia kubwa ukimwi unaenezwa kwa njia ya uzinzi, but nikisema wazinzi watafanya sherehe unaumia, kwa lipi?
Unatumia nguvu nyingi utadhani upo jukwaa la siasa!
Chezea kifo mkuu watatumia tuu....Nadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
Kwa Mtogole Tandale!Hivi dawa ya ukimwi ipo??? Na kwa hapa bongo inapatikana wapi ??
Hakuna kilichokosewa wewe ndo unataka kukoseaNadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
kuna mambo mengi kweli hadi upotoshwaji ili watu waamini tunavyoamini leo juu ya ukimwi pia usisahau swala la biashara kwa kutngeneza dawa hizo na makondom, upande mwingine kutngeneza ajira ktk nchi zaoKumbe masuala ya kisiasa ndo yaliingilia utaalamu, ha ha ha dunia hii ina mambo makuu sana
Kwa Mtogole Tandale!
mkuu umesema ukweli mtupu
Kumbe masuala ya kisiasa ndo yaliingilia utaalamu, ha ha ha dunia hii ina mambo makuu sana
Nadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
hio itakua haram..cc na ndugu zetuwaarabu hatutokunywa ππ
Nipe link mkuu, na Mimi nikawatukanepo haya makafir mayahudi, angalau niingize Baraka.Nawasuse, ingia kwene mtandao wa The times of Israel comments za watu dhid ya wenechuk na wayahud utacheka dhiid ya ugunduz huu .coz info hii niliiona January mwaka huu kwenye page hiyo
Ila asilimia kubwa ni wazinziukijua the mode of transmision ya ukimwi ucngesema waznz