Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

Status
Not open for further replies.
"Inasemekana", "Inapunguza". Kusemekana na kupungua sio kutibu. Hivyo hii si tiba, ni aina mya ya ARV.
 
Ukimwi ulitengenezwa na wanasayansi wa marekani na kwa kawaida mwanasayanc akitengeneza kitu huwa anatengeneza kwa formular ko walivyotengeneza ukimwi pia wakatengeneza na solutions ya ukimwi... Jaman dawa ya ukimwi ipo.. Nijuavyo mimi jaman
Wewe una uhakika kuwa UKIMWI ulitengenezwa na wamarekani?

Hiyo dawa ya UKIMWI iko wapi?
 
La muhimu hapo ni kuangalia kwa nini sehemu zenye watu wengi wa hiyo dini nyingine,maambukizo yao yao ni asilimia ndogo sana,ukilinginisha na sehemu zenye watu wasiokuwa na dini hiyo unayosema hawatatumia hizo dawa.Soma hiyo habari,mashariki ya kati na Afrika kaskazini,maambukizo ni asilimia ndongo,kuliko kwingineko.La muhimu ni sisi kuwafatilia hawa kujuwa kuna mbinu gani zinazofanya mpaka,kukawa na maambukizo ya asulimia ndogo sana
 
Mkuu mie sioni kama kuna shida yoyote hapo.
Unafikiri ni Dini gani watakwepa kutumia dawa hizo!?
 
Kama wanaruhusiwa kula nguruwe ili wasife, sidhani kama watakatazwa kutumia dawa ya waisraeli ili wasife pia. Wachague wenyewe, kifo au tiba.
Sima vizuri maambukizo yao ni asilimia ndogo sana,sehemu wanazoishi hao wa dini nyingine,angalia hapo maambukizo mashariki ya kati na Afrika kaskazini.Kuliko sisi tunaowasema wao.
 
Mungu ni mkubwa aendelee kutupa maalifa ya kupambana na ili janga. Hakika akuna kinachoshindikana chini ya jua I hop soon dawa itapatikana ya uhakika 100percent.na itasambazwa duniani kote.......tuzidi kumuomba mungu.
AMEN
 
Ukimwi biashara z watu hakuna dawa hivi karibuni mpk wakusanye fungu la kutosha na roho nyingi zipotee mavumbini ndio wataileta but sio sasa. But sio kwamba haipo hata kwetu za asili zipo but ukojitokeza tu either upotezwe au dawa yako ipotezwe au wote mpotee
 
pengine kuna ugonjwa mwingine wanataka kutuletea
 
Dawa ipo, kaka yangu alikua HIV positive tena alikua ameshapata AIDS kabisa, katibiwa na profesa flani wa pale SUA, Katumia dawa iyo miezi 18. Sasa ivi ni negative huu mwaka wa 3. Dawa zipo ila zinapigwa vita sana
EXPOSE MORE PLEASE
 
Hao wa dini nyingine,ni asilimia 0.1.Wakati sisi ni asilimia 5.Yaani hao wa Dino nyingine wanaoishi wengi wao masahariki ya kati na Afrika kaskazini,hata asilimia moja hawajafika kwa wenye UKIMWI,0.1% ni ndogo sana,ukilinganisha na Afrika peke Yake ya kusini mwa jangwa LA Sahara ni 5%.Na hiyo 0.1 katika hiyo mashariki ya kati,wapo wanaishi wa ile dini yatu 'pendwa' walio wachache huko mashariki ya kati na Afrika kaskazini.
 
ACHA UDINI
 
Isee wewe ni fundi wa propaganda si CDM wakuchukue tu

Haaa haaa teeeh teeeh acha nicheke.

Mimi Nina life yangu , siasa hizo za maji taka za bongo sitaziweza aisee.
Halafu, na chama ulichopendekeza hata nijiunge nacho ni uchwara tu maana kila siku nasikia wao ni kukimbia kimbia barabarani aisee hapana.

Mfano, hadi leo sina chama maana sitaki kuwa mnafiki, na mzandiki kama wanasiasa wengi walivyo hapo Tanzania.

Maana siasa, unaona kitu ni black wewe unaambiwa kasema hicho ni White. Siwezi.

In politics , white color turns to black color and the vice versa is true. I can't afford such a crazy life style!

Japo, nilichoandika ndiyo ukweli, japo na wengine wataongezea wanachofahamu juu ya dawa ya HIV/AIDS.

Ahsante pia kwa kuona kuwa naweza kufanya propaganda maana ni kazi inayohitaji akili sana, hadi sasa ni watu wachache sana wenye huo uwezo na hasa wako vitengo vya kijasusi vya nchi kama USA, Russia na baadhi ya nchi za Ulaya, Africa wapo pia, sema wanaweza wakatumika vibaya na watawala uchwara.
 


HAO HAO MAYAHUDI NDIO WALIKUWA MADAKTARI ENZI ZA MTUME MUHAMMAD {SWALLAHU ALAYH WA SALAM }

MTUME MUHAMMAD CHINI YA UTAWALA WAKE ALIWAPA ENEO LINAITWA KHAYBAR WAKAWA WANAISHI MAYAHUDI NA NDIO WALIOKUWA MABINGWA WA FANI YA UTABIBU MIAKA/ENZI HIZO.

NIHITIMISHE KWA KUSEMA KUWA MTUME MUHAMMAD ALIWAKUTA WAYAHUDI WANAISHI MJI WA MADINA.

Nilikuwa tu nakufahamisha ewe usiejua.
 

Kweli , kabisaaa.
 
Mbavuuu zangu kwahiyo haters watachukia na wasitumie.....
 
Mi nafikiri waarabu wana chakujifunza hapa!! ISRAEL imeanzishwa 1948 lakin hawamatch technologia yao!!
Waache kuvaa mabomu na kulazimisha watu kufuata wanachoamini....waanze kuonesha umuhimu wao kwa dunia....
Sio wao n kununua mtutu na mabomu tu....wawekeze ktk kusave life na technologies kusolve worlds challenges...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…