Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

Status
Not open for further replies.
Umeandika kitu gani hapa?
 
Watakunywa tu mbona wanaruhusiwa kula nguruwe kwenye njaa.

Aiseee,

Dini za kuletwa ni majanga sana ,.ndiyo maana sitaki hizi habari za dini uchwara za wazungu, waarabu wakae nazo huko huko.

Maana huo ni unafiki. Kukiwa na chakula nguruwe akipita karibu na kwao au nyumba yao ya ibada mwenye hizo nguruwe anaweza akapotezwa kabisa, kumbe tumbo likichachamaa wanagonga mzigo?

Basi tena!
 
Subuuutuuu!
Labda siyo ngoma hata nanii akipata atazinywa kwa siri
 
Kweli... Ili tuanze kula utamu kwa asilimia 100
 
Duh namna hiyo kama naona vile Tacaids itakufa sasa iv
 
Angalia idadi ya maambukizi katika hizo nchi za kiarabu,ukichanganya na Afrika kaskazini zenye waislamu wengi(na wasio waislamu wachache),maambukizi ni 0.1%,ukilinganisha na nchi za Afrika zilizo kusini mwa jangwa la Sahara ni 5%.Kuna utofauti mkubwa sana.Itakuwa dini imechangia kupunguza uambukizaji wa magonjwa haya,hasa dini ya kiislamu,kutokana na kukatazwa katika uislamu kufanya tendo la ndoa ,bila ndoa(yaani uzinifu,ni marufuku katika uislamu).
 
mkuu bhana eti uzinifu ni marufuku kwa waislamu ,

nakuuliza kitu kimoja ni dini gani imeruhusu uzinifu?
 
lakini watu wanakufa kweli
 
mkuu bhana eti uzinifu ni marufuku kwa waislamu ,

nakuuliza kitu kimoja ni dini gani imeruhusu uzinifu?
Wewe julize swali kwa nini nchi zenye waislamu wengi,maambukizi ni 0.1,nchi za mashariki ya kati(ikiwemo Israel,na wakristo waarabu,je ingekuwa ni waislamu watupu ingekuwa ni chini ya hapo)pamoja na Afrika ya Kaskazini yenye waislamu wengi(na wachache wasio waislamu).
Maambukizi ni 0.1%,wakati Afrika kusini ya jangwa la Sahara yenye idadi kubwa ya wasio waislamu,maambukizi 5%.?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…