Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

Status
Not open for further replies.
Paprika.

Umenikumbusha Ebola nimecheka kwa kusikitika , maana Ebola imetengenezwa mwaka 2013 pale USA kwa ajili ya destabilization of the western African states,
( Ila hapo Ebola iliisha kuwepo sehemu zingine.)

Sasa, hii ilipoletwa, ndiyo ikawashika baadhi ya madaktari wao wakasepa faster kwenda USA kutibiwa.

Ila kusema ukweli,walifanikiwa kuharibu uchumi wa nchi hizo za afrika ya magharibi Yaani mi wazungu nawaona ni heli ukutane na simba au chui pale Serengeti kuliko hata kitoto cha mzungu pale kinapokuwa kinahitaji ulicho nacho.

Anaweza akakufanya chochote ili achukue ulichonacho.
Ni watu wabaya sana!!!
 
Nadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
Nhahahaaa idealist manake watu hatupendwi kwanini mnywe dawa zetu
 
Sasa hoja yangu ni ''gammorah"haina uhusiano na ile iliyoangamizwa mbona waipe jina la mji wa mashoga
 
Nilipata ajali ya UKIMWI nikiwa kazini kwa maana ya nijiprick kidogo na sindano nilimhidumia mgonjwa.

Nilivyokwenda kumpima akawa HIV positive nilihisi Dunia chungu.

Nikanywa zile PEP kwa siku 28.

Baada ya muda huo mpaka leo nimepima several times niko poa.

Lakini nilichojifunza na naelekea kuamin HIV ni uongo mkubwa sana uliowahi kutokea katika medical.

Nilitafuta documentaries kibao na articles nikasoma kuhusu wale wanaopinga HIV maarufu kama HIV DENIALISM eee bhana tufuatilieni mambo.
Ngoja kwanza wewe umesema ulipima kweli ukaona una ukimwi au uliota?
 
Wazinzi wanajiandaa kufanya Sherehe!
Acha ujinga wewe. Nani amekudanganya UKIMWI ni ugonjwa wa wazinzi?

Kuna watoto ambao hata hawajui ngono, lakini wanaishi na ugonjwa huu.

Futa hii kauli yako haraka.
 
Niandike tu kwa kifupi haya yafuatayo:

1. Dawa imekuwepo,
Lakini, tangia miaka ya mwanzoni ya mwaka 1990s dawa ilitakiwa kutolewa baada ya vifo vingi hasa afrika lakini wskapiga chenga . Ila dawa ipo siku nyingi Sana huko Israeli na USA japo Israel, ndiyo wanaelewa formula na composition vizuri.

2. Israel inatumia dawa hiyo kuwatisha USA ambayo imeipinga kwa kupiga kura kinyume chao mwezi January, 2017 pale Paris, ufaransa kikao cha UN.

3. Israel anamaadui wengi, sasa hivi kuliko wakati mwingine baada ya vita baridi, kwa hiyo anatumia Sawa hiyo kama siraha ya kidplomasia kuteka nchi nyingi ili zimsaidie katika maamuzi ya UN na kumtetea.

Sasa, ni kwa nini dawa haikutangzwa mapema, USA walikuwa wanapata hela nyingi sana za michango toka nchi mbali mbali ili kusaidia waathirika kitu ambacho kama nchi wanapata kodi kutokana na michango hiyo.

Kama utaka kuelewa hili la michango, hebu rejea kesi ya Clinton Foundation ambayo imetikisa USA na hasa wakati wa uchaguzi japo hiyo kesi au issue ilikuwepo kabla ya uchaguzi mwaka jana November, 2016 .

Pia, issue nzima ya aira USA iliona itapoteza ajira nyingi sana za watu wake na baadhi ya projects zao zitakufa kama za ARV's , condoms na vitu kama hivyo.

Hivyo, kwa ujumla dawa zipo siku nyingi sana na ndiyo maana unaona Israel inatikisa kiberiti kwa kusema kuwa Sawa yao INA uwezo wa 97% kuponya ila ukweli ni kuwa inauwezo wa 100% kuponya kwa sababu, ugunduzi wa miaka hiyo waisraeli ndiyo walioufanya miaka hiyo wakiwa na USA japo, kanuni zote wao ndiyo walionazo.

Ila, angalizo, hiyo dawa inaweza ikapotea sokoni endapo utawala wa Trump utakuwa uko na msaada wa uhakika kwa Taifa la Israeli.
Lakini, ikiwa USA hawataisaidia Israel basi itakuwepo na itaponya na ndiyo maana wamesema baada ya mwaka mmoja watatimiza hiyo formula ya dawa ili iponye asilimia 100% lakini huo muda wameutoa kama angalizo kwa USA kujirekebisha kuhusu siasa zake na msitakabali wao juu ya Taifa hilo la Israel.

Kwa hiyo, watu msiruke majoka huko Tz mkijua kuwa dawa tayari ipo , ila ukweli ni huo kuwa lolote laweza kutokea tena wakati wowote ule.

Ni hayo tu, nimesema ninachojua wengine waongezee.
Isee wewe ni fundi wa propaganda si CDM wakuchukue tu
 
Watafiti wengi wamekuja na habari njema kama hizi na mwishowe hatujawaona tena, hata babu yetu wa kule loliondo naye alikuja na utafiki wake kama huu na wengine wengi,

Ukomwi ni janga la dunia na nchi masikini ndio wahanga wakubwa wa virus vya ukimwi utadhani wanaundugu navyo,

Habari hii natamani iwe kama ilivyo elezwa na kweli ifanye kazi kama ilivyo elezewa, na wangeanza kutoa huduma katika nchi masikin kwa bure bila malipo ,
 
Adui yako akikuambia kula M.A.V.I ni dawa ya kupona magonjwa yako na wewe huna ujanja inabidi u swallow your pride tu huna jinsi
 
Dawa ipo siku mingi sana, huwa naangalia mnavowasikiliza wazungu na kuwaamini as if ndo mungu wenu
 
Nadhani wamekosea kusema wayahudi/Israel ndiyo wamegundua, ilipaswa waseme kuwa Marekani au nchi nyingine ndiyo wamegundua ili kutoa fursa kwa waathirika wa dini nyingine kuweza kutumia hiyo dawa.
Sasa kwa kutangaza hivyo wengine hawatatumia kwa kuwa bidhaa za nchi hiyo zimesusiwa na dini Fulani pia ni maadui wakuu
Ile dini hawanunui supplements wala dawa zisizo thibitishwa na shirika lao la uchunguzi wa chakula na kupigwa alama ya HALAL
 
Kama wanaruhusiwa kula nguruwe ili wasife, sidhani kama watakatazwa kutumia dawa ya waisraeli ili wasife pia. Wachague wenyewe, kifo au tiba.
Ni kweli kabisa, na hii dawa ni muhimu zaidi kuliko Kitimoto wanachokula
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom