Dawa kutibu bawasiri

Ok nina kazi kidogo ngoja nimalize nitakupa maelekezo kuna Mama hapo ng'ambo sengerema alinisaidia kumtibu mwanangu leo ni miaka 9 hajawahi kusumbuliwa tena
Angesema yuko Dar ungesema kuna mama pale ilala, kind of wote mnajuana mtatupiga ap
 
Nenda hospitali ikakatwe,bawasiri ya nje inatibika kwa mitishamba ,sio ya ndani .
 
Angesema yuko Dar ungesema kuna mama pale ilala, kind of wote mnajuana mtatupiga ap
Sina njaa za kipuuzi namna hii
Na isitoshe kasema anaumwa sitaki hata mia ila nitamwelekeza sehemu niliyoyapatia matibabu ya kijana wangu
 
Hahaha bawasiri haitibiwa kwa dawa za hospitali wala za mitishamba.

Utameza madonge na mizizi mpaka uombe poo. Haitoki.

Bawasiri ikiota inakuwa kama kiungo katika mwili. Hakiondoki.

Dawa ya kufyeka shwaaaaa!
We mongo
 
Hahaha bawasiri haitibiwa kwa dawa za hospitali wala za mitishamba.

Utameza madonge na mizizi mpaka uombe poo. Haitoki.

Bawasiri ikiota inakuwa kama kiungo katika mwili. Hakiondoki.

Dawa ya kufyeka shwaaaaa!
Huu ushauri ni wa kupuuza Kuna mdada alikata ila nasikia kimerudi tena, so huu ushauri ni wa kuupuuza
 
Nashukuru docta Mimi Nina bawasiri ya ndani ninapojisaidia hutoka nikitembea hatua kadha inarudi
 
Nashukuru docta Mimi Nina bawasiri ya ndani ninapojisaidia hutoka nikitembea hatua kadha inarudi

Inonekana ni grade 2.:
Mambo mengine ya msingi ni:
1: kuna maumivu

2: ukubwa wake.

3: ina muda gani(acute vs chronic).

4: umewahi kupata damu (uwezo wa uwepo wa mpasuko/fissure na maambukizi).

5: mfumo wako wa maisha: ulaji, unywaji wa maji na upataji choo?

Haya huitaji majibu binafsi na kuangalia tatizo.
 
mimi nlienda kwenye famasi nkaambiwa bawasili inaweza kutibika kwa vidonge vinaitwa sitcom tablet nliambiwa nameza kimoja asubuhi kimoja jion kwa wiki mbili. bei nliambiwa ni 56000/= . Hiyo hela sikuwa nayo so sikununua. KWA mwenye hela ajaribu hvo vidonge halafu alete mrejesho

Vile vile kuna wadau wametoa ushuhuda kwa kutumia mafuta ya mbono. castrol oil... so kwa mwenye kujaribu nayo ni tiba pia.

m natumia dawa ya kunywa ya mitishamba imeondoa maumivu na imemove kutoka stage ya kutokurudi ndani na sasa hv inatoka wakati wa haja nkimaliza haja inakaa kidogo inarudi.... zamani ilikuwa muda wote ipo nje hata kukaa ilikuwa shida sasa hv at least nakaa....
 
hiz daw nilishatumia mm ilinisaidia kuondoa maumiv Yan saiz hakiumi hT kidogo ila hakijaisha bado kipo
 
hiz daw nilishatumia mm ilinisaidia kuondoa maumiv Yan saiz hakiumi hT kidogo ila hakijaisha bado kipo
Kuna dawa za ag nutrition naona zinatibu kabisa bawasiri,Kuna watu wengi wamepona Kwa kutumia hizo tiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…