Dawa ya ajabu ya kuzuia kutapika niliyokutana nayo kwenye basi

Kila MTU anaweza kua mjasiliamali, wengi wanapenda kua wajasiliamali ila mifuko hairuhusu kufanya ivo..
Hao waliookuwa wajasilimali wamekwambia kwamba mifuko yao ilikuwa inaruhusu kufanya hivyo ?
Wajasiliamali wengi wa Tanzania ambao wametoka walianza bila mifuko kuruhusu,
Usiwe unawaza fedha, wewe jitume utaona matokeo
Halafu angalia ile mail basi
 
Hao waliookuwa wajasilimali wamekwambia kwamba mifuko yao ilikuwa inaruhusu kufanya hivyo ?
Wajasiliamali wengi wa Tanzania ambao wametoka walianza bila mifuko kuruhusu,
Usiwe unawaza fedha, wewe jitume utaona matokeo
Halafu angalia ile mail basi
Kwa halo ya sasa lazima pesa uitumie.. So unaona Mzee baba kakaza tax kila kona so mambo yanabadilika kutokana Na muda + mfumo.
Kuhusu pesa umenionea, Money it's not my first priority..
 
Hahahahahahaha
Mwacheni Dada Vinci wanguuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nimeamini kuwa huyo ni Dada
 
Gazeti la michezo au siasa?
Mkuu mimi nilichoona mimi ni Gazeti ,sijui lilikuwa la Siasa au Michezo.....Naona hii Sayansi ni ya AJABU ....SIJAONA MAELEZO YOYOTE YA WADAU HAPA!
 
Mkuu mimi nilichoona mimi ni Gazeti ,sijui lilikuwa la Siasa au Michezo.....Naona hii Sayansi ni ya AJABU ....SIJAONA MAELEZO YOYOTE YA WADAU HAPA!
Sawa mkuu wangu ila inastaajabisha sana
 
Inaeza kuwa kuna vitu vingine alivifanya kama maneno kusema wakat gazeti linawekwa
Kumbuka unaweza jarib wewe na isifanye kazi
 
Jina lako ni lakijiji katika mkoa fulani tanzania hii??
 
twinnie cute b njoo jionee maajabu ya dunia hapa.!!
Ujue nimefurahi sana. Sikujua kama unanijali hivi jamani.
Yaani sikujua kama umeshaanza hatua za kunitafutia tiba. Twin Mungu akuweke. Nimepitia comments zote na Mgonjwa achagui dawa... Si unajua? ❤❤❤
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…