Dawa ya ajabu ya kuzuia kutapika niliyokutana nayo kwenye basi

Dawa ya ajabu ya kuzuia kutapika niliyokutana nayo kwenye basi

Ujue nimefurahi sana. Sikujua kama unanijali hivi jamani.
Yaani sikujua kama umeshaanza hatua za kunitafutia tiba. Twin Mungu akuweke. Nimepitia comments zote na Mgonjwa achagui dawa... Si unajua? ❤❤❤
😍😍😍
Heey twinnie, this is nothing bwaana! Umenipea huge compliments wakati hata tiba hatujapata! tukipata dawa permanent tunakuja fanya sherehe halafu inakuwa mwendo wa kutravel all over the world.!!
 
salamu,

Naomba kuwashirikisha tukio moja nililolishuhudia nikiwa safarini (kwenye bas) Wote tunafahamu kuna watu wakipanda gari huaptwa na hali ya kutapika sana! Hii huwalazimu wengine kutokula chakula safarini majuzi nikiwa safarini,dada mmoja alianza kutapika, hali hii ilimpa shida sana!

Moja wa abiria alimwita konda na kumuuliza kama ana Gazeti, konda alimwambia analo! Akamwambia chukua Gazeti hilo mwambia huyo dada (aliye kuwa anatapika) alitandaza na kuliweka chini ya kitikisha alikalie! Yule dada bila ajizi alitekeleza maelekezo hayo!

Kabla hata kuona matokeo ya ile dawa, nilishindwa kujizuia na kumuuliza yule"mganga 'kuwa ile ni dawa alichoonijibu bwana yule kuwa ni subiri matokeo ndiyo nitajua kuwa ni dawa au sio yule dada hakutapika tena hadi mwisho wa safari nilijiuliza sana nini mechanism ya ile dawa naelewa kuwa sampuli ya mgonjwa mmoja sio sahihi sana lakini inafikirisha!
Alitafuna au alipikicha ndo akakalia cjaelewa kidogo
 
Hili jambo nimeshalisikia pia kwenye redio one mtangazaji akilizungumzia
 
huu ugonjwa umenikumbusha kuna mdau alikuwa nao yani hata km mnatoka nae safari ndogo izi mnakata mitaa nayeye utashangaa amerudisha chenchi
 
Back
Top Bottom