Dawa ya aleji

Dawa ya aleji

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
3,692
Reaction score
5,647
Heri wenzangu.
Nina mtoto mwenye aleji na ngano.Mkate,mandazi,tambi,biskuti hagusi,akila tu,muili unamuasha,anajikuna hadi huruma,na tatizo akina wenzake wanakula na yeye anatamani,ndo hivo tunahakikisha wenzake wakitaka kula,ni huko huko ili wasimtamanishe.

Kwa anayejua tiba naomba msaada.
 
Pole sana mkuu.

Muone daktari kwa tiba na ushauri juu ya hilo tatizo
 
Tiba bora kabisa ya aleji ni kujikinga na kile kinachokupa aleji. Vyema umeshajua vinavyompa aleji basi muepushe navyo.
 
Heri wenzangu.
Nina mtoto mwenye aleji na ngano.Mkate,mandazi,tambi,biskuti hagusi,akila tu,muili unamuasha,anajikuna hadi huruma,na tatizo akina wenzake wanakula na yeye anatamani,ndo hivo tunahakikisha wenzake wakitaka kula,ni huko huko ili wasimtamanishe.

Kwa anayejua tiba naomba msaada.

Hii huwa ni Kwa sababu ya "gluten protein" iliyo katika nafaka za ngano,kama shida ni ngano products,aache kutumia ndo dawa kubwa na ya msingi na bahati njema we mwenyewe umethibitisha anapata shida kutokana na vyakula vya ngano.
STOP USING IT.
 
Hii huwa ni Kwa sababu ya "gluten protein" iliyo katika nafaka za ngano,kama shida ni ngano products,aache kutumia ndo dawa kubwa na ya msingi na bahati njema we mwenyewe umethibitisha anapata shida kutokana na vyakula vya ngano.
STOP USING IT.
ku "discourage /manage" hizo shida anazozipata mgonjwa endapo si kubwa mpaka kuhitaji "hospitalization" unatumia "antihistamine tablets" kama Celestamine,Loratadine,(Promethazine)Phenegan ,Chlorpheniramine (Pirton) .etc.
 
ku "discourage /manage" hizo shida anazozipata mgonjwa endapo si kubwa mpaka kuhitaji "hospitalization" unatumia "antihistamine tablets" kama Celestamine,Loratadine,(Promethazine)Phenegan ,Chlorpheniramine (Pirton) .etc.
Mkuu umemaliza kila kitu
 
ku "discourage /manage" hizo shida anazozipata mgonjwa endapo si kubwa mpaka kuhitaji "hospitalization" unatumia "antihistamine tablets" kama Celestamine,Loratadine,(Promethazine)Phenegan ,Chlorpheniramine (Pirton) .etc.
vipi kuhusu side effects za hizi tablets?
 
vipi kuhusu side effects za hizi tablets?
kifupi mkuu ambacho unatakiwa kujua ni kwamba dawa yeyote yenye uwezo wa kutibu huwa pia na matokeo mwambata ambayo si sehemu ya matibabu (side effect) inapotumiwa katika dose sahihi ,na matokeo mwambata haya huwa ni yale yanayofahamika "common side effect" ,mfano kwa hizo dawa nilizozitaja "antihistamine , major side effect ni mild drowsness" yaani unapata kiusingizi fulani,shida zingine ni kama kukauka midomo,maumivu ya kichwa ,kichefu chefu na hata kutapika (ingawa ni 'side effect' ya karibu 90% kwa dawa zinazotumiwa kwa njia ya kumeza kinywani-kichefuchefu na kutapika.)
 
kifupi mkuu ambacho unatakiwa kujua ni kwamba dawa yeyote yenye uwezo wa kutibu huwa pia na matokeo mwambata ambayo si sehemu ya matibabu (side effect) inapotumiwa katika dose sahihi ,na matokeo mwambata haya huwa ni yale yanayofahamika "common side effect" ,mfano kwa hizo dawa nilizozitaja "antihistamine , major side effect ni mild drowsness" yaani unapata kiusingizi fulani,shida zingine ni kama kukauka midomo,maumivu ya kichwa ,kichefu chefu na hata kutapika (ingawa ni 'side effect' ya karibu 90% kwa dawa zinazotumiwa kwa njia ya kumeza kinywani-kichefuchefu na kutapika.)
anhaa kumbe ..poa mkuu
 
Wakuu, nimekula matambi, ila sasa yamenikataa. Yaani hapa nimevimba vimba usoni kama nini.
Hii aleji inatibikaje?
Nitapendelea tiba iwe ki asili zaidi. manengelo unajua tiba?
 
ku "discourage /manage" hizo shida anazozipata mgonjwa endapo si kubwa mpaka kuhitaji "hospitalization" unatumia "antihistamine tablets" kama Celestamine,Loratadine,(Promethazine)Phenegan ,Chlorpheniramine (Pirton) .etc.
Hizi dawa zinapatikana famasi kweli mbona majina magumu?
 
ku "discourage /manage" hizo shida anazozipata mgonjwa endapo si kubwa mpaka kuhitaji "hospitalization" unatumia "antihistamine tablets" kama Celestamine,Loratadine,(Promethazine)Phenegan ,Chlorpheniramine (Pirton) .etc.
Mkuu umemaliza kila kitu
Hizo dawa zinatibu any allergy au hiyo ya ngano tu?
 
Back
Top Bottom