Dawa ya ashki kwa wanawake inahitajika(libido boost medicine)

Dawa ya ashki kwa wanawake inahitajika(libido boost medicine)

Ni dawa ya Kizungu ila imetengezwa kiasilia( 100% Natural). Sijasomea udaktari ila nini knowledge kuhusu treatment kuhusu dawa hizi! Karibu!

Ahsante mkuu inaitwaje?na unauzaje?msaada wako tafadhali
 
Usisahau panadol kila unapojisikia hovyo. Ni hayo tu
 
Kwa bibi Tanga kuna dawa....

Jitahidi uje umuone...
 
Hello wakuu

Kabla sijajiunga na JF
Nimekua nikipitia nyuzi mbali mbali hapa jamii forum kwa kila jukwaa na pia niliona nyuzi mbali mbali kuhusiana na kukosa hamu ya tendo kwa Wanawake pamoja na kusoma comments za wadau mbalimbali

Lakin stil sijaona suluhu yaani dawa ya kuleta ashki iliyopimwa mamlaka ya afya na kuthibitishwa katika matumiz.....nkaona ni vyema nikajisajili JF na kutoa hii post huenda nkapata msaada juu ya hili tatizo langu hii ndio post yangu ya kwanza mm humu JF sio mgeni mara nying napita juu tú na kusoma yaliyomo nkaona ni vyema nkawa member kabisa

Jaman nahitaji dawa ya ashki kwa yoyote mwenye nayo anisaidie tafadhali.ama anielekeze zinapopatikana tafadhali

Najitahidi sana kumuomba Mwenyez Mungu juu ya hili tatizo ila bado sijapata dawa wala ufumbuz ila najua Mungu ndio kila kitu.na ntapona ivyo kwangu Mwenyez Mungu ndio kila kitu

Njia nyingine
Nishaenda kwa psychologists but it doesn't.work.....nishaenda hospital but they told me I don't have any problem......nishachekiwa vipimo vya kila namna Sina jini mahaba wala nn na Sina stress zozote zile sababu naishi maisha mazuri sana ambayo kila mmoja angetamani ayapate

Lengo haswa la uzi huu nahitaji dawa tu nasio ushauri tafadhali naomba mnielewe.....nahitaji dawa ya ashki tú iwe ya mitishamba ama yoyote ile kikubwa iwe imethibitishwa kimatumizi

Kwa yoyote mwenye dawa ya ashki kwa Wanawake anipatie tafadhali ....sitaki jokes kua serious na kama huna mchango potezea tú


Nb nimeolewa na ndoa yangu bado ni changa!!!!!!!

Mwenye iyo dawa tujuzane.....Ahsanteni!!!!!!!!

Lo makubwa. Mi naona dawa unayo. Ni kuweka fikra yako sawa na kujituma tu.
 
Umesema haujawai kuwa na ashki tangia uzaliwe sasa umejuaje kama hauna? You can't loose somethin that you don't have,at what age you realized that you don't have libido? What makes you think that you don't have libido?
 
Ni dawa ya Kizungu ila imetengezwa kiasilia( 100% Natural). Sijasomea udaktari ila nini knowledge kuhusu treatment kuhusu dawa hizi! Karibu!

Mbona kimya mkuu?dawa inaitwaje na unauzaje?
Ahsante
 
Nitafutie Mbuzi mwenye rangi ya Zambarau, Mchele kilo mia mbili, Maharagwe debe nne,Sisimizi aliyefiwa na Mjomba wake MziziMkavu ya jiwe jeusi,Dhahabu karai mbili,kofia mbili za Polisi,pembe tatu za Ndovu na Faru moja,Nyusi za Simba mwenye miaka mnne dume, Vichwa viwili vya wachina waliokuwemo kwenye ndege ya Malaysia iliyopotea lete hivyo vitu nikutengenezee dawa... fanya fasta...si unataka uwe na haski? ukishindwa kuna watu wapo kufanya hiyo kazi watumie m-pesa


Hahahaha JF is never BOARING......ntakuletea uyo sisimizi alofiwa na mjomba ake.....thanks for making my day
 
Last edited by a moderator:
Kingine mme wangu ananiandaa vizur sana na ananifanyia mautundu ya kila namna but stil sipati ashki nampenda sana mume wangu na mawazo yangu yote hua yako pale tunapokua faragha but tatizo sipat hamu..nisaidieni wadau nampenda sana MUME WANGU NA NAITHAMINI SANA NDOA YANGU

Muelewe kua tangu nikue Sijawahi kupata ashki ata siku moja.....Sijawahi gombana na mtu sina shari na mtu yoyote yule msije mkaanza longolongo hapa nahitaji dawa tú kwa alienayo anijuze tafadhali

Tafuta forever arg+ na forever multi maca. Ni kiboko. Ni natural products without artificial ingredients. Bei I guess ni 130000 + 45000. Moja ni ya kunywa kama juice na nyingine ni tablets
 
Tafuta forever arg+ na forever multi maca. Ni kiboko. Ni natural products without artificial ingredients. Bei I guess ni 130000 + 45000. Moja ni ya kunywa kama juice na nyingine ni tablets
Ahsante mkuu we ni agent wa forever living ama?na kama ndio je unazo? zishasaidia wahanga kama mm?
 
Umepima hormone balance? Kama umepima zipo sawa na huna shida ingine ya kimwili, fanya utaratibu wa kutembelea nyumba za ibada kwa maombi. Spiritual husband huwa wanaweza kumfunga mtu asifurahie penzi na mwanaume mwingine.
 
Mie ni agent ndio na ninazo. Na zimeshasaidia watu sana unaweza pia kuzigoogle ukajisomea mwenyewe

Ahsante mkuu nazihitaji waeza nipatia namba yako?maana kama ni.agent sioni kama itakua shida ukiweka namba yako hapa nkakutafuta
 
Umepima hormone balance? Kama umepima zipo sawa na huna shida ingine ya kimwili, fanya utaratibu wa kutembelea nyumba za ibada kwa maombi. Spiritual husband huwa wanaweza kumfunga mtu asifurahie penzi na mwanaume mwingine.


Ahsante kwa kujali mkuu ntafanyia kazi mawazo yako
 
Hello wakuu

Kabla sijajiunga na JF
Nimekua nikipitia nyuzi mbali mbali hapa jamii forum kwa kila jukwaa na pia niliona nyuzi mbali mbali kuhusiana na kukosa hamu ya tendo kwa Wanawake pamoja na kusoma comments za wadau mbalimbali

Lakin stil sijaona suluhu yaani dawa ya kuleta ashki iliyopimwa mamlaka ya afya na kuthibitishwa katika matumiz.....nkaona ni vyema nikajisajili JF na kutoa hii post huenda nkapata msaada juu ya hili tatizo langu hii ndio post yangu ya kwanza mm humu JF sio mgeni mara nying napita juu tú na kusoma yaliyomo nkaona ni vyema nkawa member kabisa

Jaman nahitaji dawa ya ashki kwa yoyote mwenye nayo anisaidie tafadhali.ama anielekeze zinapopatikana tafadhali

Najitahidi sana kumuomba Mwenyez Mungu juu ya hili tatizo ila bado sijapata dawa wala ufumbuz ila najua Mungu ndio kila kitu.na ntapona ivyo kwangu Mwenyez Mungu ndio kila kitu

Njia nyingine
Nishaenda kwa psychologists but it doesn't.work.....nishaenda hospital but they told me I don't have any problem......nishachekiwa vipimo vya kila namna Sina jini mahaba wala nn na Sina stress zozote zile sababu naishi maisha mazuri sana ambayo kila mmoja angetamani ayapate

Lengo haswa la uzi huu nahitaji dawa tu nasio ushauri tafadhali naomba mnielewe.....nahitaji dawa ya ashki tú iwe ya mitishamba ama yoyote ile kikubwa iwe imethibitishwa kimatumizi

Kwa yoyote mwenye dawa ya ashki kwa Wanawake anipatie tafadhali ....sitaki jokes kua serious na kama huna mchango potezea tú


Nb nimeolewa na ndoa yangu bado ni changa!!!!!!!

Mwenye iyo dawa tujuzane.....Ahsanteni!!!!!!!!

Tumia feminine herbal complex
 
Back
Top Bottom