Nakushaur uwe unakula ubuyu kwa ajil ya kutuliza kiungulia bt cjui km n tiba ya mojakwamoja ila hutuliza kwa haraka au hata kuchanganya sukar na jivu ukalamba kwa pamoja nayo husaidia kupunguza maumiv. Kuhusu nyongo chukua ndimu/limao kamulia ktk kikombe then weka chumvi kdogo halaf unywe hukata nyongo. Ila ushaur wa awal uliopewa ndo mzur huenda n tiba kamil.
Mnyamwezi Sikonge karanga mbichi zinaanzisha kitu gani?wakati unapoamka?Zinapoanzisha hizo karanga vurugu yake si utafutie dawa yake? dawa za karanga umpate mwanamke mzuri tu mambo yote kwishaaaaaaaSIKONGE huwa tunatumia Karanga. Ila sema Karanga bana, zinaanzisha matatizo kwa wanaume unapoamka 🙂
naomba umpe anti yako anywe hiyo spirit na mafuta ya taa then utanipa feedback,. watu wengine sijui wakoje, try to be seriouse watu tupo jf kwa ajili ya kuelimishana na si kuleta utani mahala penye userious,.kama huna la kushauri bora uache na si kumwambia mtu eti anywe mafuta ya taa> its terrible........:A S cry:
kunywa mafuta Ya Taa Na spriti vijiko Viwili Vya Chakula!
Mkuu Majigo Mbona unashauri mtu anywe sumu vipi mkuu? ushauri wako sio mzuri unaleta ushauri Negative kuwa Serious kuleta ushauri mkuu unaweza kupigwa BAN. Usilete maneno yako ya kihuni samahani kama ninakukwaza.Kama unaona Ushauri Wangu Hauna Mantiki, Toa Wa Kwako Na Utibu Maswahibu Yanayomsibu!
aisee, sisi wabaya kumbe sio dawa ya karangadawa za karanga umpate mwanamke mzuri tu mambo yote kwishaaaaaaa
Pole sana,kunywa asali kila baada ya kula chakula inasaidia sana sana, pia pendelea kunywa maji ya moto husaidia sana kutoa gesi