ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,151
Nina tatizo la kiungulia kila ninapokula chakula chochote ambacho ni fresh, after five minutes kinaanza kunichoma sana, nimeenda hosp several times wananiambia nina dalili za vidonda vya tumbo wananipa dawa iitwayo Relcer na mavidonge kibao, ila nikagundua dawa ilikua inatuliza kwa muda na si kumaliza tatizo kwani kila dawa zikiisha kinaanza tena. huwa natamani kutapika nyongo ila haipandi kabisa, naomba kusaidiwa hata dawa za asili za kutibu nyongo nyingi na kiungulia kama zipo.