Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,662
Kuna uzi mmoja joshua_ok aliuanzisha kwamba katika kufanikisha sera ya nchi ya viwanda diaspora tushirikishwe, cha ajabu niliona reactions za wabongo, hasa Lumumba crew ( aka wala vumbi au buku7), wakishusha matusi dhidi ya diaspora sijawahi kuona! Kuna mmoja avatar yake ni picha ya Hitler, huyo jamaa alishusha maneno na matusi kama vile ana laana! Copenhagen DN, alitukanwa na kudhihakiwa mpaka nikamwonea huruma. Mara ana kiingereza kibovu, sijui mara vile, mazagazaga kibao.
Mbona kuna nchi kibao Africa wakuu wake hawajui kiinglish? Kwani kiingereza kitu gani? Mjijibu wenyewe, walavumbi.
Nashauri diaspora yoyote uliyepo humu, kama unataka kuanzisha uzi, maana nimeona walavumbi ni balaa na ni kama wana laana hasa kwa matusi yao hayo, mtag Nyani Ngabu.
Wanamgwaya Nyani kama Van damme wa Sinza! Atawatembezea mkong'oto kwa kadri watakavyojileta mpaka watasalimu amri, hata kama wawe wangapi, na hapo utaendelea kufurahia uzi wako kwa amani.
Wakijifanya wajuaji Ngabu atawanyuka mpaka wakae, sitasahau kuna jamaa alipigwa dongo na Ngabu kuwa kitanda anacholalia yeye na mke wake kina gharama ndogo kuliko breakfast yake katika mgahawa wa West Point, *****, mbona alitoroka uzi!
Mbona kuna nchi kibao Africa wakuu wake hawajui kiinglish? Kwani kiingereza kitu gani? Mjijibu wenyewe, walavumbi.
Nashauri diaspora yoyote uliyepo humu, kama unataka kuanzisha uzi, maana nimeona walavumbi ni balaa na ni kama wana laana hasa kwa matusi yao hayo, mtag Nyani Ngabu.
Wanamgwaya Nyani kama Van damme wa Sinza! Atawatembezea mkong'oto kwa kadri watakavyojileta mpaka watasalimu amri, hata kama wawe wangapi, na hapo utaendelea kufurahia uzi wako kwa amani.
Wakijifanya wajuaji Ngabu atawanyuka mpaka wakae, sitasahau kuna jamaa alipigwa dongo na Ngabu kuwa kitanda anacholalia yeye na mke wake kina gharama ndogo kuliko breakfast yake katika mgahawa wa West Point, *****, mbona alitoroka uzi!