Dawa ya chuki ya wala vumbi ni Nyani Ngabu

 

Ukiona matangazo mengi Ya sangoma mitaani yanayohusu pesa za majini, kujiunga na freemason, akili za kufaulu darasa I, nguvu za kiume, kumvuta mpenzi etc Basi ni dhahiri uchumi umekuwa
 

If u don't mind....Can you please tell me, how is this all posible ??

Maana nawajua watu kibao states mpaka leo...ni msoto tu. Watu wana hustle na kupiga mark time for years matunda hatuoni. I've been there i kno, there is no place better than home.

Watu wanabaki kuturushia ma photos insta tu. [emoji23][emoji23]
 
 

Umesomea wapi?
Ulisomea nini?
Unafanya nini kwa sasa?

Go get good education with the right major from a good school
Stay away from trouble
Abide by the laws of Uncle Sam
Maintain a good credit
Network and strategize
Don't be lazy
Invest in yourself as much as you can
And the opportunities are plenty

Cc Kiranga
 

Halafu naona jamaa anakomaa na ma-engineers as If wanalipwa vizuri zaidi kuliko kada zingine! Average salary ya Engineer ni kama $67K kwa mwaka! Mtu mwenye BS ya nursing anakula mpaka $80K kwa mwaka! Maisha ya ughaibuni ukiwa na displine wala huwezi kujilaumu!
 
Hebu acha pumba ndugu...

Nimesema doctor or qualified engineer....kwani nani hajui nurses mbele wana earn a lot ?? Doctor na Nurse kwa uelewa wako nani zaidi ??

Otherwise hakuna mtu mbele anayeweza live the American dream kama sio mfanya biashara wa kueleweka ( ni ngumu still) au mwenye good science profession otherwise NO labda uuze unga.
 
Invest in urself still utaangukia mule mule naposema mm.....nimeacha washkaji zangu wa naija london kibao tu wamesoma degree za accounting/business and now wame enroll nursing degrees (science fields or medical courses).....kuna vitu kama appretinceship....unavijua ??

Bana we danganya wengine....hamna kitu sikijui pande hzo. [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…