Dawa ya chuki ya wala vumbi ni Nyani Ngabu

Inabidi nikufungie kabatini wewe
 
Inabidi nikufungie kabatini wewe

Imefikia kipindi siwezi andika kitu chochote humu bila ya mtu au watu kujishuku kuwa nawazungumzia wao na kuzushiwa IDs ambazo hata sihusiani nazo.

Sikujua homa ya Ngabu ni kali kiasi hiki.

Itabidi niingie maabara niitafutie tiba hiyo homa.
 
Imefikia kipindi siwezi andika kitu chochote humu bila ya mtu au watu kujishuku kuwa nawazungumzia wao na kuzushiwa IDs ambazo hata sihusiani nazo.

Sikujua homa ya Ngabu ni kali kiasi hiki.

Itabidi niingie maabara niitafutie tiba hiyo homa.
Mkuu Ngabu Richard Mungizi leo umekua Simplicity
Kesho itasemekana Ngabu
ni yule babu wa Loliondo!
 
ila nakupenda sana.una adabu sana wewe kaka .basi tu maisha napenda mwanaume mnyenyekevu kama wewe!
ipo siku tu
 
Imefikia kipindi siwezi andika kitu chochote humu bila ya mtu au watu kujishuku kuwa nawazungumzia wao na kuzushiwa IDs ambazo hata sihusiani nazo.

Sikujua homa ya Ngabu ni kali kiasi hiki.

Itabidi niingie maabara niitafutie tiba hiyo homa.
Shenzy sana wewe NN....
 
siku nyingi sijakutana
na stori za mitaa hapo
Copenhagen kwenye box

Kuna binti kakupenda hapo
malizana naye kwanza
usiache anayekupenda
mapenzi yakamfunga jela
 
Jirani siku hizi umeadimika mno, au ndio maandalizi ya winter??
 
siku nyingi sijakutana
na stori za mitaa hapo
Copenhagen kwenye box

Kuna binti kakupenda hapo
malizana naye kwanza
usiache anayekupenda
mapenzi yakamfunga jela
mwambie aje ,aje peke yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…