Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hahaaa hawawezi kufanya hivo kwa sababu mimi sio hao watu.Si waziunganishe hizo id wanasubiri nini ,halaf uje ile pande
Niko jiran kazi ndio imenibana sana. Kipindi flan nilikuwa Sweden Malmo na stockholm. Ila uliniambia unaish kaskazin.
Unataka kujitetea umeenda kwa ajili ya masomo?Mkuu, unazungumza kiujumla tu au?
Bora STUNTER kuliko Monicaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Keshokutwa nitakuwa STUNTER
Monicaaa naye ndo mimi?Bora STUNTER kuliko Monicaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mkuu winter taratib linajongea. Fall ndio hiyo tumeiaga. Napenda sana fall season majani ya miti yanapobadilika rangi na kuwa brown goldish. Mkuu naona umevadilisha avatar tulikuzoea na Ile ya jez nyekunduMkuu, vipi kiaje?
Winter vipi limekolea?
Potezea multiple ID huwaUshahidi uko mwingi sana wa kukuumbua wewe limbukeni, embu anza kwanza na huu https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/16934295
Acha ushamba na mikogo ya kingese, maana haina faida yoyote
Mkuu kuna wengine wametumia life savings za wazazi wao kusoma Ulaya.Sasa mbona uliacha vyuo vyenu ukaenda Ulaya? Kwa nini hukwenda Teku au Teofili Kisanji? Kwa roho yako mbaya, hukutoa hela mfukoni, vinginevyo itakuwa ndio wale ambao baba zao wameibia sana hii nchi.
Yaani mpaka umuite mtu aje akutetee?? Kweli wewe afadhari ungebaki tu hapa Tz, huko nje ufagiaji unakuharibu ma wala haukupi confidence yoyote!Kuna uzi mmoja joshua_ok aliuanzisha kwamba katika kufanikisha sera ya nchi ya viwanda diaspora tushirikishwe, cha ajabu niliona reactions za wabongo, hasa Lumumba crew ( aka wala vumbi au buku7), wakishusha matusi dhidi ya diaspora sijawahi kuona! Kuna mmoja avatar yake ni picha ya Hitler, huyo jamaa alishusha maneno na matusi kama vile ana laana! Copenhagen DN, alitukanwa na kudhihakiwa mpaka nikamwonea huruma. Mara ana kiingereza kibovu, sijui mara vile, mazagazaga kibao.
Mbona kuna nchi kibao Africa wakuu wake hawajui kiinglish? Kwani kiingereza kitu gani? Mjijibu wenyewe, walavumbi.
Nashauri diaspora yoyote uliyepo humu, kama unataka kuanzisha uzi, maana nimeona walavumbi ni balaa na ni kama wana laana hasa kwa matusi yao hayo, mtag Nyani Ngabu.
Wanamgwaya Nyani kama Van damme wa Sinza! Atawatembezea mkong'oto kwa kadri watakavyojileta mpaka watasalimu amri, hata kama wawe wangapi, na hapo utaendelea kufurahia uzi wako kwa amani.
Wakijifanya wajuaji Ngabu atawanyuka mpaka wakae, sitasahau kuna jamaa alipigwa dongo na Ngabu kuwa kitanda anacholalia yeye na mke wake kina gharama ndogo kuliko breakfast yake katika mgahawa wa West Point, *****, mbona alitoroka uzi!
Baby nani anasema wewe ni mwanaume?!!just imagine mtu badala ajadili mada anakuja kutoa povu huku eti mimi ni mwanaume .hata mfano ningekuwa mwanaume inamuhusu nini? si afanye yake yaliyomleta? wala vumbi kweli ni matatizo kumbe Nyani Ngabu hajakosea .ndo maana jamaa huwa anawachana live maana utoto mwingi
Hiiii hiiii hiiiii hiiiiii manyanya mabheseeeeeeHahaaa hawawezi kufanya hivo kwa sababu mimi sio hao watu.
Halafu eti hata wewe unasemwa kuwa ndo mimi.
Idadi ya wapumbavu JF ni kubwa kuliko nilivokuwa nadhania.
Hao wala vumbi ndio watakuja kusema hivyo sio mimi.Monicaaa naye ndo mimi?
Nakupenda weweHao wala vumbi ndio watakuja kusema hivyo sio mimi.
Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
mkuu winter taratib linajongea. Fall ndio hiyo tumeiaga. Napenda sana fall season majani ya miti yanapobadilika rangi na kuwa brown goldish. Mkuu naona umevadilisha avatar tulikuzoea na Ile ya jez nyekundu
Unataka kujitetea umeenda kwa ajili ya masomo?
Hahaha mbele mbele bob. [emoji23][emoji23]Wacha wee...
Habu nfanzie mpango nije nitakase macho hata kwa nusu siku asee..