Dawa ya erecto - 20mill, 50mill na 100mill, je zinachelewesha kufika haraka?

zinauzwaje hizo dawa za erecto

Usijaribu hizo dawa demu haridhishwi kwa kupiga masaa mawili bali demu anaridhishwa na pesa yako!! Achana nayo utakuja kufa watu wengi unaosikia wamekufa guest huwa wanakuwa wamekunywa hivo vidonge na kuwaletea complications!
 
Usijaribu hizo dawa demu aridhishwi kwa kupiga masaa mawili bali demu anaridhishwa na pesa yako!! Achana nayo utakuja kufa watu wengi unaosikia wamekufa guest huwa wanakuwa wamekunywa hivo vidonge na kuwaletea complications!

Ha ha ha ha ha haya kaka lakini hao wengi waliosepa ni wenye matatizo ya presha mi sina hilo halafu ni mtu wa tizi
 
Nakula pweza tu mchuzi nope!!

Sisi huku kutembea kwenyewe mazoezi tosha sasa hapo Dar kila ukitaka kwenda kokote unaenda kwa gari hata umbali wa mita 500 lazima gari ndo maana mnasalitiana sana wanawake hawariziki.
 

shuda yote ya nini mkuu, kuna dawa ya miti shamba inatokea drc inaitwa kasongo, uo ni mti tu umesagwa then ukawa unga, unapaka tu kwa mzee alaf unakaa kama nusu saa, ingia kwenye mechi sasa, utaona muziki wake.
 

promo promo promo....
 
Kuna tofauti kati ya sidenafill na tadenafill? Composition zake zikoje na zinakuwa prescribed vip?

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Umesahau madhara mengine ni macho kua mekundu sana kama vile umevuta bangi
 
Niliwahi kumeza flagy nilipokuwa naumwa na tumbo kilichonitokea kwenye mechi nilishangaa.nayo inachelewehsa balaa.sasa sijui madhara yake.
 
shuda yote ya nini mkuu, kuna dawa ya miti shamba inatokea drc inaitwa kasongo, uo ni mti tu umesagwa then ukawa unga, unapaka tu kwa mzee alaf unakaa kama nusu saa, ingia kwenye mechi sasa, utaona muziki wake.
Mkuu najanga hiyo dawa ya DRC haina madhara na ukitumia kuzidi kipimo inakuwaje?na je unajua kwa kuipata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…