Kiukweli dawa hiyo inafanya kazi vyema sana, hasa jogoo kuwa standby muda mrefu, inafanya kazi baada ya dakika 15 toka kumeza, shida yake ni kuwa ukiizoea, mishipa ya chombo inakuwa tegemezi sana, na matokeo yake, inaweza kukufanya usiendeshe baiskeli bila kutegemea msaada wa erecto kitu ambacho ni hatari.
Katka michezo yangu ya ugenini nilitumia mara tatu hivi ili kujenga heshima, lakini kilichotokea baada ya kipindi fulani nilihisi hamasa kupotea na kudevelop utegemezi!
Nikarudi kwenye ushauri wa asili nikajenga stamina after that, ikarejea kwenye hali ya kawaida. Hivyo sikushauri ufanye mazoea ya kuiumia ila mara moja kwa miezi sita si mbaya.