Dawa ya kidonda sugu

Dawa ya kidonda sugu

Dukani

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
1,136
Reaction score
1,652
Jamani naomba kwa anayejua dawa ya vidonda kama hiki tupeane ushauri.

Historia ya kidonda
Alipata ajali miaka mitano iliyopita ametibiwa KCMC, Mt. Meru, Mawenzi, St. Joseph, NSK Arusha, bila mafanikio.

Amefanyiwa operation mbili kuondoa tissue zilizokufa, amefanyiwa skin draft mara mbili bila mafanikio.

Vipimo
X ray mara tatu
Sukari hana
UKIMWI hana

Amefanyiwa vipimo vyote kabisa hana tatizo lolote ila kidonda hakiponi.

Ni matumaini ya kuwa kwenye jukwaa hili kuna wajuzi wa mambo haya.

IMG_20191212_113443_140.jpg
IMG_20191212_113503_897.jpg

MCHANGO WA WADAU:
Hiki kidonda ni kizuri kina matumaini ya kupona.

Kwanza zingatia sana chakula cha mgonjwa, immune system inajengwa na chakula bora hasa nyama. Mboga, matunda na nafaka pia ni muhimu.

Kama ataweza kutokitia maji au kidonda kioshwe mara akimaliza kuoga.

Kuosha kidonda: hakikisha unazingatia usafi.
Chemsha nusu litre ya maji, yakiwa yanachemka weka chumvi 1/2 ya kijiko cha chai.

Taarisha bakuli, weka maji yaliyochemka na uweke vipande vya pamba au gauze hii utaipata pharmacy.

Acha maji kwa nusu saa mpaka yapoe. OSHA mikono yako na kisha chuku a pamba usafishe kidona. Pamba uliyosafishia weka kwenye mfuko wa uchafu.

Funika kidonda kwa plasta au bandage. Hivi utanunua pharmarcy. Kama utaweza kupata bandage za silver ni nzuri. Kipe kidonda nafasi ya kupona unaweza kusafisha kila baada ya siku moja. Kikiwa kinatoa maji mengi itabidi usafishe kila siku.

Ukiona dalili za usaha nendeni kwa daktari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjomba angu alipataga ajali alipata kidonda mguuni! Kidonda kilihangaikiwa hicho watu wakachoka! Sasa mwaka wa 15 huu anakidonda...kipo hivyohivyo, hakina dalili yakupona! Na ukikiacha siku 3 tu haujakisafisha utakutana na funza km Mia hivi! Kina harufu mnoo! Pole Sana...fanyeni maombi mno!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeraha la ajali linaweza kusababisha kansa?

Sent using Jamii Forums mobile app
of course kinasababisha vizuri sana,.jaribuni kupima kansa pia. Mama yangu alikua na jipu likakamuliwa kikawa kidonda na bika kujua akawa anatibu kidonda lakini hakifungi io ni ndani ya mwaka mmoja,.mwezi uliopita akaenda hospital akakutwa ana kansa,uzuri ni kua haijasambaa ipo kwenye kidonda tu.

kwaio kidonda chochote kikikaa mda mrefu hakifungi kinaweza sababisha kansa,mpelekeni mkamcheki kansa pia,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
of course kinasababisha vizuri sana,.jaribuni kupima kansa pia, Mama yangu alikua na jipu likakamuliwa kikawa kidonda na bika kujua akawa anatibu kidonda lakini hakifungi io ni ndani ya mwaka mmoja,.mwezi uliopita akaenda hospital akakutwa ana kansa,uzuri ni kua haijasambaa ipo kwenye kidonda tu.

kwaio kidonda chochote kikikaa mda mrefu hakifungi kinaweza sababisha kansa,mpelekeni mkamcheki kansa pia,

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri Mkuu,hiki kidonda kina miaka mitano sasa na ilikuwa ni ajali ya kawaida kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure kabisa mkuu,huenda ni kansa,nashauri akapimwe kwanza kansa,ikimaliza vipimo kama hana kansa njoo pm nikulekeze dawa ya kutibu hiyo kidonda naamini itapona kabisa ikiwa sio Kansas,nb bila majibu ya vipimo vya kansa usinitafute
of course kinasababisha vizuri sana,.jaribuni kupima kansa pia, Mama yangu alikua na jipu likakamuliwa kikawa kidonda na bika kujua akawa anatibu kidonda lakini hakifungi io ni ndani ya mwaka mmoja,.mwezi uliopita akaenda hospital akakutwa ana kansa,uzuri ni kua haijasambaa ipo kwenye kidonda tu.

kwaio kidonda chochote kikikaa mda mrefu hakifungi kinaweza sababisha kansa,mpelekeni mkamcheki kansa pia,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjomba angu alipataga ajali alipata kidonda mguuni! Kidonda kilihangaikiwa hicho watu wakachoka! Sasa mwaka wa 15 huu anakidonda...kipo hivyohivyo, hakina dalili yakupona! Na ukikiacha siku 3 tu haujakisafisha utakutana na funza km Mia hivi! Kina harufu mnoo! Pole Sana...fanyeni maombi mno!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasasa mnatumia dawa gani mkuu,?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa ushauri mkuu ,dawa za kienyeji tumeshatumia sana kaka bila mafanikio

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia unaweza kwenda kwa Dr ABBAS kariakoo yeye ni hodari wa kutibu vidonda vya kisukari, nashauri hivyo hata kama hana sukari, kwa uzoefu wake nadhani anaweza saidia,

Pili wakati mwingine kisukari hakionekani vizuri au wazi , aidha namna ya kukipima na kugundua naweza sema madaktari hawako makini, kupima mara moja au mbili damu ya mgonjwa na ukaikuta ni ya kawaida haina sukari SIO hakika kuwa hana kisukari, mm sio mtaalam, ila kugundua km mtu hana kisukari panahitaji juhudi za makusudi kwa kula chakula kwa makusudi then apimwe mara kadhaa angalau 4x hasa kwa wale wanao anza tatizo hilo inaweza kukuhakikishia kuwa kweli hana kisukari.
 
Back
Top Bottom