Dawa ya kidonda sugu

Dawa ya kidonda sugu

Nipo arusha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
[QUOTE="Dukani, post:

Hakuna tatizo wewe nenda naye hosp waambie kuosha kidonda ni maji ya drip. Usitumie Eusol tafadhali. Kidonda nakiona kibichi hivyo Iodine bado ni dawa pamoja na za kukausha atameza. Maelezo mengine kama tulivyoongea PM.
 
Poleni sana, Jaribu hii dawa pia ni majani flani hata mtaani unaweza ukayapata yanakua na vimiba vidogo vidogo.

Yachume kisha yatwangwe/saga kisha weka kwenye kidonda.
Ina saidia sana kufunga kidonda. Dukani,
20191216_132533.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom