Dawa ya kuchelewa kunyuri

Dawa ya kuchelewa kunyuri

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Nina tatizo sugu ila nahisi sio peke yangu, nilisikiliza comedy moja ya black america yule aliepigwa kofi na Wily Smith, alisema usisikie sijui unaweza kunyuri mara mbili au tatu, alidai hayo ni maneno ya kupeana moyo tu, ukishapiga goli moja ndio imetoka, kuendelea na game ni kutafuta kuadhirika, alimalizia kwa msemo huo.

Sasa zipo dawa za kuondoa tatizo hili labda lifike lisaa na nusu au zaidi? Njia yangu kuu kila dizaini huisabu mara mia tatu kisha nabadilisha, ndio angalau ninachukua muda mrefu.

Kama si hivyo nikiguswa tu nishavuruga.
 
Nina tatizo sugu ila nahisi sio peke yangu,nilisikiliza comedy moja ya black america yule aliepigwa kofi na Wily Smith ,alisema usisikie sijui unaweza kunyuri mala mbili au tatu,alidau hayo ni maneno ya kupeana moyo tu,ukishapiga goli moja ndio imetoka ,kuendelea na game ni kutafuta kuadhirika ,alimalizia kwa msemo huo.

Sasa zipo dawa za kuondoa tatizo hili labda lifike lisaa na nusu au zaidi ?
Njia yangu kuu kila dizaini huisabu mara miatatu kisha nabadilisha, ndio angalau ninachukua muda mrefu.
kama si hivyo nikiguswa tu nishavuruga.
Tabu zote Hizo za nini? Kuadhirika kupi sasa
 
Back
Top Bottom