Habari wana JF! mimi si member mpya katika kijiwe chetu pendwa ila nimeweka ID mpya sababu ya kulinda kujulikana ni nani maana wengi wananifahamu ID yng humu JF.
Jamani wakuu naombeni msaada, tumekwazana na mpenzi wangu kama yalivyo mapenzi ila amebadilika ghafla, yaani ninavyosema ghafla namaanisha, maana hakuwa na huwa hana tabia kama hizi alizonazo. Kuna muda anabadilika, mara anakaa sawa, nimekaa naye chini kiupole sana kumuuliza tatizo ni nini hana cha maana anachojibu.
Yaani kiufupi amekua haeleweki, kibaya zaidi ananiambia tuachane. Yezekana naonekana kama mjinga ila kiukweli moyo wangu unakataa kabisa kabisa kumuacha aende, tumekua kwenye mahusiano kwa muda mrefu tumefanya vingi, hii hali imenifanya siwezi kabisa kumsahau nimejitahidi nashindwa.
Nalala usiku naweweseka, nashindwa kula kabisa imefikia hatua kichwa kinauma upande mmoja naenda hospitali kupima nikidhani ni ugonjwa daktari akaniambia nina msongo wa mawazo(depression).
Nimejaribu sana kufanya uchunguzi kujua labda huyu mwenza wangu kapata mtu mwingine, kwa uchunguzi wa awali kwenye simu yake kwa siri sijapata baya lolote na kwa nje hivi pia sijasikia lolote. Nimehama hadi mazingira niliyokua naishi naye lakini wapi, hali inazidi kuwa mbaya kiupande wangu!
Kichwa hakiachi kuniuma, nashindwa kula, kulala, yaani kuna muda natamani kuwa kama watu wengine wenye furaha ila kwangu ni tofauti. Nimejaribu kubadili mazingira, kukaa na watu lakini haijasaidia, nimepiga magoti nimeomba mno lakini wapi!
Sitegemei mtu anihukumu, ila kiukweli nilipofikia nimesikia mengi kuhusu mambo ya wataalamu (mafundi) au waganga wa kienyeji, kama kuna mtu ambaye aliwahi kusaidiwa au anamfahamu mtu aliyewahi kusaidiwa jamani anisaidie PM au kwenye maoni mimi ntamfata PM kwa taarifa zaidi, maana natamani hadi kufa wakuu!
Haya mambo yapo na hayajaanza jana wala leo, jamani namuhitaji sana bado mpenzi wangu. Nashindwa hata kuendesha vizuri shughuli zangu za kila siku sababu ya maumivu niliyonayo moyoni. Mwenye msaada anisaidie, natamani arudi tena kwangu maisha yaendelee kama kawaida.
Nawaombeni sana.[emoji1431][emoji24]
Jamani wakuu naombeni msaada, tumekwazana na mpenzi wangu kama yalivyo mapenzi ila amebadilika ghafla, yaani ninavyosema ghafla namaanisha, maana hakuwa na huwa hana tabia kama hizi alizonazo. Kuna muda anabadilika, mara anakaa sawa, nimekaa naye chini kiupole sana kumuuliza tatizo ni nini hana cha maana anachojibu.
Yaani kiufupi amekua haeleweki, kibaya zaidi ananiambia tuachane. Yezekana naonekana kama mjinga ila kiukweli moyo wangu unakataa kabisa kabisa kumuacha aende, tumekua kwenye mahusiano kwa muda mrefu tumefanya vingi, hii hali imenifanya siwezi kabisa kumsahau nimejitahidi nashindwa.
Nalala usiku naweweseka, nashindwa kula kabisa imefikia hatua kichwa kinauma upande mmoja naenda hospitali kupima nikidhani ni ugonjwa daktari akaniambia nina msongo wa mawazo(depression).
Nimejaribu sana kufanya uchunguzi kujua labda huyu mwenza wangu kapata mtu mwingine, kwa uchunguzi wa awali kwenye simu yake kwa siri sijapata baya lolote na kwa nje hivi pia sijasikia lolote. Nimehama hadi mazingira niliyokua naishi naye lakini wapi, hali inazidi kuwa mbaya kiupande wangu!
Kichwa hakiachi kuniuma, nashindwa kula, kulala, yaani kuna muda natamani kuwa kama watu wengine wenye furaha ila kwangu ni tofauti. Nimejaribu kubadili mazingira, kukaa na watu lakini haijasaidia, nimepiga magoti nimeomba mno lakini wapi!
Sitegemei mtu anihukumu, ila kiukweli nilipofikia nimesikia mengi kuhusu mambo ya wataalamu (mafundi) au waganga wa kienyeji, kama kuna mtu ambaye aliwahi kusaidiwa au anamfahamu mtu aliyewahi kusaidiwa jamani anisaidie PM au kwenye maoni mimi ntamfata PM kwa taarifa zaidi, maana natamani hadi kufa wakuu!
Haya mambo yapo na hayajaanza jana wala leo, jamani namuhitaji sana bado mpenzi wangu. Nashindwa hata kuendesha vizuri shughuli zangu za kila siku sababu ya maumivu niliyonayo moyoni. Mwenye msaada anisaidie, natamani arudi tena kwangu maisha yaendelee kama kawaida.
Nawaombeni sana.[emoji1431][emoji24]
Sitaki kuamini uyu jamaa ndio aliye vunja ( kukubikiri) maana tujuavyo wanawake huwapenda sana watu walio wafundisha mambo na wakisalitiwa huwa wanakua vicheche sana
Kuachwa au kukataliwa ni moja ya sehemu ya mahusiano wangapi walikupenda ukawakataa? Je unahisi walijiskiaje ila leo hii wamesimama na kiendelea na wako mbali wengine na ndoa
Your weakness is umeonesha unampenda sana na hauwezi move au ishi pasipo yeye sasa umekosea wanaume tukiisha jua. Flan ananipenda ndio tunakuendesha maana hauna plan B ya maisha tushajua
Ili uwese ku move on ni njia mbili
1. Usipende kaa pekeako jishughukishe sana , hudhuria makongamano ya dini, seminar za kibiashara, fanya evening and morning walk, mazoezi, refresh mind kwa kutembelea ndugu na marafiki ukipata experience ya vitu vipya
2. Sitisha kumpigia simu na kumtumia msg ni ngumu najua but if yah can manage for only 2 week bus jua utakua umeweza ku move on, futa picha zake kwenye simu yako, futa nmba zake , ondoa vitu vyake vyoye vitakavyo kupa kumbukumbu then weka nia moyoni kwamba Yes i can do it”
Haujawai fiwa na watu wa karibu yako? Watu waliofiwa wazazi au ndugu wa karibu wanajua ninacho ongea just imagine unaongea na mtu then unaambiwa kafariki tena alikua ni mtu wa karibu sana , so uwa tunasikitika tunalia sana na kuomboleza kwa muda fulani then tunasahau kua ilitokea na mwisho life goes on
NB. Usiende Pm za watu ovyo na kama ukiweka miadi ya kukutana na mtu jinsia tofauti angalia yasiwe mazingira hatarishi JF ni nyumba salama ukiwa uwanjani kwa wote kama hapa ila ukienda Pm jua its on your own risk usije ukashangaa unaliwa kimasihara na msaada usipate
Tatizo hajiamini mwenyewe ngoja nimpe siri ya mapenzi ilivyo na uchawi wake
1. Distance inauwa mapenzi ukatae ukubali ( mtasalitiana tu) mmoja wenu au wote inategemea na mazingira
2.Mkidumu kwenye mahusiano mda mrefu sana bila kuwa na kitu kinacho waunganisha jua pia mtaachn tu coz kunakuchokana , kumuona mtu yuko vile vile na kushushana thamani mfano wanaume uwahi mchoka mwanamke sana especially aliwa kaisha sex nae mara nyingi ndipo thamani ya mwanamke inashuka ili utengeneze thamani yako lazima uwe na msimamo usitumie sex as execuse ya kulinda penzi lako
3.watu wanazani kuchati chati sana au kupigiana simu kila baada ya dk 10 au 30 ndio mapenzi na kujaliana hapana, wanaofanya ivyo ni watu ambao hawajakua na hawana kazi ya kufanya na mazoea hujenga Tabia , kumjali mtu sio mawasiliano ya kila mara bali ni commitment ya mtu kwa mpenzi wake, utayari na kujitoa kwa jambo - au + yaweza isiwe kifedha ikawa kimawazo, kushawishi au kuliwadha
4. Ukimtafuta au mtumia msg mtu sana na kumpigia simu sana kichwani hanapata jibu kwamba uyu mtu ananipenda na hawezi niacha so kiburi kinazidi daima
Solution na wewe una mute kwa muda uone je uwa anakukumbuka au kukumis kama ndivyo niamini atakutafuta tu kama alikupenda kweli , maana ata kaa siku 3-4 asipoona simu wa msg atajiuliza whats happen sasa hapa lazima atakutafuta kwa njia nyingi mfano anaweza ingia whatsapp kuangalia kama upo online, umeweka status, anaingia mitandao yote ya kijamii kujua whats going on, wewe unaweza usijue chochote coz haumfatilii but trust me ana kufatilia pasipo kujua coz anataka ajue kipi kimekupa kiburi , wanawake wakifikia hapa sasa ndo uwa wanakosea wanaanza post vijembe unakuta wanakosea maana mwanaume anajua ohh kumbe uyu ni mswahili ivi sema alikua hajionyeshi
Just cool down endelea fanya yako kumrudisha mtu uyo atarudi mwenyewe maana atashangaa ghafla haumtafuti tena na siku zinaenda akicheki anaona unafuraha ( ulishawai skia mtu anakwambia asee nimekutana na X wangu kanawili balaa) unajua kwa nini before alikua hajali sana na kucare hakuon uziri wako kwa kua alikuzoea sana, tengeneza thamani yako kwanza kwake.
5.Epuka mahusiano yanayopelekea kukaa sehemu moja kila mtu akae kivyake kuonan iwe ni kwa siku maalumu na ujifunze pia kutafuta sana kwa maan ukiwa na chako unacho msaidia mpenzi wako siku akikikosa lzm atakukumbuk tu
Sent from my iPhone using JamiiForums