Dawa ya kuongeza uzalishaj mbegu za kiume

Ndio hasara ya kutoishi bila mume hii na kuzalishwa mitoto hovyo hovyo na mababa tofauti tofauti tena walevi lzm uwe ni mtu wa kupayukapayuka tu km Mange kimavi
Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango, tulia dozi ikuingie.
 
Sawa ndugu
 
Ndio hasara ya kutoishi bila mume hii na kuzalishwa mitoto hovyo hovyo na mababa tofauti tofauti tena walevi lzm uwe ni mtu wa kupayukapayuka tu km Mange kimavi

Dah [emoji23][emoji23][emoji23]..!

Nimeshindwa [emoji1544][emoji1544][emoji1544]
 
Pole sana kijana mwenzangu, mshirikishe Mungu pia kwa uwezo wake unaweza kupata tiba
 
Pole sana kijana mwenzangu,hapa ndo tunapopata funzo la imani kijana kama we unahangaika kupata mtoto lkn mungu hajakujaalia lkn kuna lingine saa hii lipo bafuni linarusha tu masperm litre nzima
Hapo umenena kk
 
Kula vyakula vya protein kwa wingi
Pole mkuu
 
Mi nasikitika sana kila nikilala na mwanamke after 14 days ati anamimba cha kushangaza kuna kama wa3 niliwapeleka wakachome sindano na wa5 waliwek njiti(uzaz wa mpango)
Kwang suluhisho ni condom tu
 
Mkuu@tingetinge2 Ushauri uliopewa ukiwa kama hauja kusaidia kurudisha Shahawa zako li ziwe na nguvu ya kuweza kuzalisha
nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
INAWEZEKANA UNA FANYA TENDO LA NDOA KILA SIKU SO ILI UPATE MBEGU BORA USIFANYE TENDO LA NDOA KWA MUDA WA SIKU SABA ILI KURUHUSU SPERM TO MATURE THEN ANGALIA TAREHE ZA HATARI ZA MKEO NDIO MKUTANE NI HAYO TU BRO
 
INAWEZEKANA UNA FANYA TENDO LA NDOA KILA SIKU SO ILI UPATE MBEGU BORA USIFANYE TENDO LA NDOA KWA MUDA WA SIKU SABA ILI KURUHUSU SPERM TO MATURE THEN ANGALIA TAREHE ZA HATARI ZA MKEO NDIO MKUTANE NI HAYO TU BRO
Sawa nitajitahidi
 
Sawa mziz lkn naona hizo Namba ni za nchi za mble itakuaje na mm Niko Tz
 

MziziMkavu na tupatie pia elimu, mbinu, tiba etc.. ya kutungisha mtoto wa kiume....maana wengine tumetandika watoto wa kike wanne mfululizo.....
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…