Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango, tulia dozi ikuingie.Ndio hasara ya kutoishi bila mume hii na kuzalishwa mitoto hovyo hovyo na mababa tofauti tofauti tena walevi lzm uwe ni mtu wa kupayukapayuka tu km Mange kimavi
Tusigombane mm nataka ushaur wa dawa tu jamani au hospital au doctor nzur sasa mkigomban lengo halijafikiaWacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango, tulia dozi ikuingie.
Sawa nduguKuna kitu kinaitwa macca powder kuna MTU alikua anatangaza kuuza hapa jf.. Ila ukiiona post hiyo tafuta na utumie. Haina madhara unaweza kuigoogle ukaiona mwenyewe. Nchini Peru wanakunywa hadi watoto Ina faida nyingi ikiwemo kuchochea hormones za kiume na kuongeza sperms count na pengine kutibu infertility
Ndio hasara ya kutoishi bila mume hii na kuzalishwa mitoto hovyo hovyo na mababa tofauti tofauti tena walevi lzm uwe ni mtu wa kupayukapayuka tu km Mange kimavi
Mi ninacho kiingizio cha hio dozi ila shughuli ipo kwako ww usiekuwa na kiingizio bali una kiingiziwa...NITAKUOVADOZI MM UPAGAWE shauri yakoWacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango, tulia dozi ikuingie.
Pole sana kijana mwenzangu, mshirikishe Mungu pia kwa uwezo wake unaweza kupata tibaWadau wa jf najua mara nying hutoa msaada kwa mambo ya afya. Mimi ni mvulan Nina mwak wa2 kweny ndoa cjabahatik mtoto niliwah kupima kipind ch mwak1 nyuma niliambia Nina tatiz la low sperm,poor progressive,poor morphology. Cvut cgar clewi .Naomba msaada wa daw na hospital inayoweza kupat matibabu Asanten sana
Hapo umenena kkPole sana kijana mwenzangu,hapa ndo tunapopata funzo la imani kijana kama we unahangaika kupata mtoto lkn mungu hajakujaalia lkn kuna lingine saa hii lipo bafuni linarusha tu masperm litre nzima
Asant ndugu ,nakaribish ushaur wa tiba mkuuPole sana kijana mwenzangu, muombe sana Mungu atafanya wepesi
Saw nduguPole xana. Jaribu kukutana na dr mwaka anaweza akakusaidia
Bro utakuwa Mhasibu wa ikulu wewe! Sio kwa mahesabu hayo, hahaha!Jamaa si utamshibisha mbegu huyu??mbegu 150 x 3 kwa siku ni mbegu 450
450 x siku 30 =13500 kudaaaadeki
Mkuu@tingetinge2 Ushauri uliopewa ukiwa kama hauja kusaidia kurudisha Shahawa zako li ziwe na nguvu ya kuweza kuzalishaWadau waJF najua mara nyingi hutoa msaada kwa mambo ya afya. Mimi ni mvulana nina mwaka wa pili kwenye ndoa sijabahatika kupata mtoto
Niliwah kupima kipind cha mwaka 1 nyuma niliambia Nina tatiz la low sperm, poor progressive, poor morphology. Sivut sigar na sielewi tatizo hili linasababishwa na nini .
Naomba msaada wa dawa na hospital ninayoweza kupata matibabu Asanten sana
Sawa nitajitahidiINAWEZEKANA UNA FANYA TENDO LA NDOA KILA SIKU SO ILI UPATE MBEGU BORA USIFANYE TENDO LA NDOA KWA MUDA WA SIKU SABA ILI KURUHUSU SPERM TO MATURE THEN ANGALIA TAREHE ZA HATARI ZA MKEO NDIO MKUTANE NI HAYO TU BRO
Sawa mziz lkn naona hizo Namba ni za nchi za mble itakuaje na mm Niko TzMkuu@tingetinge2 Ushauri uliopewa ukiwa kama hauja kusaidia kurudisha Shahawa zako li ziwe na nguvu ya kuweza kuzalisha
nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Mkuu@tingetinge2 Ushauri uliopewa ukiwa kama hauja kusaidia kurudisha Shahawa zako li ziwe na nguvu ya kuweza kuzalisha
nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Wadau waJF najua mara nyingi hutoa msaada kwa mambo ya afya. Mimi ni mvulana nina mwaka wa pili kwenye ndoa sijabahatika kupata mtoto
Niliwah kupima kipind cha mwaka 1 nyuma niliambia Nina tatiz la low sperm, poor progressive, poor morphology. Sivut sigar na sielewi tatizo hili linasababishwa na nini .
Mvulana uko kwenye ndoa mwaka wa pili?una umri gani
Naomba msaada wa dawa na hospital ninayoweza kupata matibabu Asanten sana