Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
Habari doctors,
Kuna dawa nyingi ambazo mtu na hasa mtoto anapewa kama hana ile hamu ya kula na kigezo ikiwa ni minyoo...so anapewa dawa ili apate hamu ya chakula.
Swali langu ni,
Je hakuna dawa ambayo mtu anaweza kupewa ili hamu ya kula ipungue??? Ukizingatia kuna dawa ya kuongeza hamu ya chakula???
Naombeni msaada wa hiyo dawa kama ipoo jamani..
Thanks a lot doctors.
Kuna dawa nyingi ambazo mtu na hasa mtoto anapewa kama hana ile hamu ya kula na kigezo ikiwa ni minyoo...so anapewa dawa ili apate hamu ya chakula.
Swali langu ni,
Je hakuna dawa ambayo mtu anaweza kupewa ili hamu ya kula ipungue??? Ukizingatia kuna dawa ya kuongeza hamu ya chakula???
Naombeni msaada wa hiyo dawa kama ipoo jamani..
Thanks a lot doctors.